Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,192
Vijana wenzangu Maisha ni Kupambana, pambana kijana Mpaka Siku Moja Ex wako aje akwambie:
"hebu waambie Kama ulishawahi kudate na mimi Maana nawaambia Wala hawaniamini"
Sasa wewe kaa unakula kulala utajua nn maana ya maisha ukisha zeeka.
"hebu waambie Kama ulishawahi kudate na mimi Maana nawaambia Wala hawaniamini"
Sasa wewe kaa unakula kulala utajua nn maana ya maisha ukisha zeeka.