Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 339
- 457
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 nimemaliza chuo kikuu 2015, nina shahada ya elimu na saikolojia yaani(bachelor of education psychology ). Nili major saikolojia na nika minor geography though A level nilisoma CBG.
Waungwana eeee naomba ajira ya kazi zifuatazo social worker, kufundisha biology na geograpy, ushauri nasaha/nasihi, au zinazofanana na hizo.
Kwa sasa nipo tu sina ajira my contact njooo inbox
By snyambila
Waungwana eeee naomba ajira ya kazi zifuatazo social worker, kufundisha biology na geograpy, ushauri nasaha/nasihi, au zinazofanana na hizo.
Kwa sasa nipo tu sina ajira my contact njooo inbox
By snyambila