baraka bb
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 2,691
- 3,859
Habari zenu wazee baba
Holaaa holaaa mambo ni moto. Hatimaye harusi ya dada imekaribia na kama kaka wa makamo nimeambiwa lazima nivae suti.
Sasa basi ni lazima nitinge suti kali kimodo fulani hivi cha kisasa ukumbi mzima washangaee na niweze kung'oa mademu kupitiia hiyo suti nitakayovaa.
Msaada ninaohitaji kutoka kwenu ni wapi nitapata suti kali kwa bajeti ya laki moja kuanzia juu hadi chini? Tupia picha ya suti kali kama unayo niweze kuangalia fashion..
NB: Mimi sijawahi kuvaa suti tangu nizaliwe ndo nataka nivae hyo tarehe 30
Holaaa holaaa mambo ni moto. Hatimaye harusi ya dada imekaribia na kama kaka wa makamo nimeambiwa lazima nivae suti.
Sasa basi ni lazima nitinge suti kali kimodo fulani hivi cha kisasa ukumbi mzima washangaee na niweze kung'oa mademu kupitiia hiyo suti nitakayovaa.
Msaada ninaohitaji kutoka kwenu ni wapi nitapata suti kali kwa bajeti ya laki moja kuanzia juu hadi chini? Tupia picha ya suti kali kama unayo niweze kuangalia fashion..
NB: Mimi sijawahi kuvaa suti tangu nizaliwe ndo nataka nivae hyo tarehe 30