Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,452
- 40,435
ha ha ha Watu wanataka kazi za kuvaa tai na kupulizwa na kiyoyoziHaya ngoja waje hizi kazi sasa hatari
Mimi ni mchapakazi ila sina uzoefu wa kukaanga samaki samakiAnaitajika kijana mchapa kazi/mpambanaji mwenye uzoefu wa biashara ndogo ndogo mfano:- kukaanga kuku,samaki,dagaa n.k pamoja na kutafuta walaji.
- Kazi itafanyikia Dar na atajiongoza mwenyewe
- Atakabiziwa nyumba na atakuwa anaishi mwenyewe kwa muda wa miezi 12 cha muhimu ni uaminifu na juhudi katika mauzo.
- Kazi haina msongo wa mawazo ni wewe kujituma tu kwenye manunuzi na mauzo
- Kuhusu mshahara tunaweza kujadili
- Kama unaujuzi wa ufundi ufundi itakuwa ni vizuri zaidi kwa fursa zingine baadaye
Kama unaweza kufanya hiyo kazi kwa Dar,nipatie mikakati yako by keshoMimi ni mchapakazi ila sina uzoefu wa kukaanga samaki samaki
Madogo kazi kama hizi hawazitaki afu wanalalama ajira imekuwa ngumuKama unaweza kufanya hiyo kazi kwa Dar,nipatie mikakati yako by kesho
Ni kweli mkuu tatizo watu hawajui mwanzo ni mgumuMadogo kazi kama hizi hawazitaki afu wanalalama ajira imekuwa ngumu
Mkuu, hili ni neno dogo na fupi sana. Lakini kwangu nimekuelewa zaidi, nikweli vijana wengi wanakwama sana kwa kuendekeza tai pasipo na chochote mfukoniha ha ha Watu wanataka kazi za kuvaa tai na kupulizwa na kiyoyozi
Ni kweli mkuuMkuu, hili ni neno dogo na fupi sana. Lakini kwangu nimekuelewa zaidi, nikweli vijana wengi wanakwama sana kwa kuendekeza tai pasipo na chochote mfukoni
Na mwanzo mgumu hupelekea kwenye mwisho laini...Ni kweli mkuu tatizo watu hawajui mwanzo ni mgumu
Aisee kumbe nyie ndio adui zetuMadogo kazi kama hizi hawazitaki afu wanalalama ajira imekuwa ngumu
Uko sahihi kabisa. Mi ni adui wa maskiniAisee kumbe nyie ndio adui zetu
Bro mi npo hapaa aseeAnaitajika kijana mchapa kazi/mpambanaji mwenye uzoefu wa biashara ndogo ndogo mfano:- kukaanga kuku,samaki,dagaa n.k pamoja na kutafuta walaji.
- Kazi itafanyikia Dar na atajiongoza mwenyewe
- Atakabiziwa nyumba na atakuwa anaishi mwenyewe kwa muda wa miezi 12 cha muhimu ni uaminifu na juhudi katika mauzo.
- Kazi haina msongo wa mawazo ni wewe kujituma tu kwenye manunuzi na mauzo
- Kuhusu mshahara tunaweza kujadili
- Kama unaujuzi wa ufundi ufundi itakuwa ni vizuri zaidi kwa fursa zingine baadaye
Wazo zuri mkuu...inahitaji uaminifu sana kwa asilimia kubwa atakuwa anajisimamia mwenyewe;ndio maana anatakiwa mpambanaji wa kweli.Na sisi wamikoani vipi tunaweza kuangaliwa kwa jicho la kipekee sio mbaya ukiongeza na mwingine wakawa wawili itapendeza sana japo anakuwa chini ya mwingine ,kingine mwenye mtaji usije ukatumia hiyo ofisi yako kumuumiza mwajiri wako kisa wana sijui mademu michepuko ni ushauri wangu
Ameshapatikana mkuu,naomba unitafute mwezi wa 10 kama itaniruhusu kukuza zaidi...Bro mi npo hapaa asee