Tusihitimishe haraka, anaweza akawa ameuawa alafu akawekewa kichupa cha Chang'aa jirani ili ionekane imemuua pombe, kwasasa kifo chochote kinachotokea kuna haja ya uchunguzi wa kina kufanyika, hivi unahabari Mlipuko wa Arusha uliambatana na risasi zilizolenga TANK la mafuta la gari la Matangazo? unafahamu kwamba mafuta yangelipuka na kuua watu zaidi na gari kuteketea ingetangazwa kwamba mlipuko ulitokana na Hitilafu za kwenye gari? unajua kwamba ishu ingewageukia wenye gari la Matangazo kwa kufanya uzembe mpaka Tank kulipuka?