Kijana kampiga mama yake kisa mke wake

Kijana kampiga mama yake kisa mke wake

Duh yanatokea hayo wangapi wapo mjini wana maisha mazuri majumba mazuri na magari ya kifahari lakin ukienda kijijini kwao wanakokaa wazazi wake walomzaa tena huenda aliwapa tabu wakat mdogo walijinyima kwa kumlea leo hii unawatenga hata mungu hapendi ndo mwisho wa yote unakuta jamaa anapata mkasa au ajali mbaya hafi ila ndo atavunjika vunjika cha moto anakiona hapahapa dunian jaman tusijisahau na maisha ya mjini na kupelekwa pelekwa na wanawake tulowajulia ukubwani tuwakumbuke walotulea na kutufanya tufike hadi tulipo
 
Hamna cha limbwata wala nini...nyie viumbe mnajisahau sana mbele ya papuchi....mkiambiwa "usiku utaona" basi na akili inahama...

Guys hakuna papuchi tamu zaidi ya ile iliyokuleta duniani.....


Mmmmmh!
Maneno yako dada, mpaka natamani nikuone uso kwa uso!
 
Kijana ampiga mama yake mzazi kisa mkewe

Sio kwamba natukana au namdharau huyu mama........ila ana sura ya kigaidi aisee.........japo huyo kijana wake anaonekana hakulelewa ipasavyo........hakustahili hata kumfinya mama yake.........

either mama mwenyewe alimlea vibaya....(maana kama una maadili huwezi hata kuwaza hivyo).........au kijana aliamua tu kuwa mvuta bhange...............
 
Mama mkwe hapatanagi na mke wa mwanae, dawa ni kuwatenganisha kila mtu akae kwake, inasikitisha wewe na mkeo mnajinyima kuwatunza watoto mnajenga nyumba nzuri, baba anakufa watoto wanakula bata na wake zao ndani ya hiyo nyumba mama yao wanamfukuza anaenda kuomba hifathi kwenye pagala la mtu,maana hata hela ya kupanga chumba hana. kisa haelewani na mkamwana
siyo bongo movie hii?. ngoja nikusaidie kumalizia. mzimu wa babayao unaanza kuwasumbua ndani na wake wanaanza kuwa viburi...mngine apookee.
 
Hii tabia ipo katika jamii nyingi sana hasa za kimaskini. Watu wanashindwa kuelewa kuwa Baraka ya bure kabisa ya kuongezewa umri wa kuishi kwenye maandiko ni moja na ina condition moja.

kutoka 20:12 "Waheshimu baba yako na mama yako ili upate kuishi miaka mingi..."

Kinyume cha kutowaheshimu wazazi ni kupata laana kubwa.

Hebu angalia hapa, Mithali 20:20 "Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu."

Naomba iwe changamoto kwetu hasa wanaume, tunapoanza maisha yetu kutosahau umuhimu wa wazazi.

Jumapili njema.
 
daah, sijui ni pepo au malezi ya hawa watoto wa kiditali..
mama yangu alivyonilelea ,mweeee mweee ata na uzee wake sasa akichimba biti lazma ukae mbali mtu mzima, naweza chezea kibao cha chap mbele ya mjukuu wake..
mama ni mama ase
 
ndo kamchakaza hivi jamani??? na huyo mkewe hapo ndo amajisikia vizuri au?

Huyo kijana pepo kwake ni mwiko kabisa, hata afanye mazuri kiasi gani hapa duniani ikiwa mpaka mamaake akafa hajamtaka msamaha na kusamehewa
 
Hivi huyu jamaa kwa huyo mama kazaliwa mwanaume peke yake!!!!!????
 
Hiyo tuanisikia huko, lkn hata bapa kwetu yapo. Tatizo kubwa linaweza kuwa ni kwa wazazi pia, wazazi wengi wanawalea watoto katika misingi isiyo ya kujua thaman ya mzazi, mzazi anamdekeza mtoto mpaka mtoto anahisi yeye ndiye kamzaa mzazi, sasa kwa malezi haya usitegemee mtoto atahofia chochote kukuuumua
 
mpwa sijakuelewa kabisa hapa kapewa visivyopewa?




ndo kumdunda mama yako mzazi kiasi hicho anatafuta laana kubwa
wewe ngoja aokote makoopo ndo hatajua kuwa nani kama mama
mama aliteseka pale leba akalia kwa uchungu kumfyatua yeye
leo anaona wa thamani ni mke na sio mama aiseeeeeeeee dunia ya ajabu
Kijana kapewa visivyopewa
 
hata kama akazaliwa pekee yake huwezi kumdunda mama yako kiasi hicho mpaka akawa vile
MAMA NI MAMA HATA KAMA ANA KITU INI MAMA HUYOOOO (mwaitege kaimba)
Hivi huyu jamaa kwa huyo mama kazaliwa mwanaume peke yake!!!!!????
 
Back
Top Bottom