Kwa jina anaitwa Ally Mohammed.
Ni mwandishi habari kutoka Zanzibar.
nina mpango wa kuanzisha gazeti litakalotoka kila siku.
Ningefurahi nkimuajiri huyo kijana.
Aliwahi kufukuzwa kazi Redioni sababu ya uwekaji huru Demokrasia.
kuna mtu yoyote mwenye details za huyu kijana.
View attachment 358375