Kijana huyu anatafutwa.

Micheweni Pemba

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2010
Posts
351
Reaction score
181
Kwa jina anaitwa Ally Mohammed.
Ni mwandishi habari kutoka Zanzibar.
nina mpango wa kuanzisha gazeti litakalotoka kila siku.
Ningefurahi nkimuajiri huyo kijana.
Aliwahi kufukuzwa kazi Redioni sababu ya uwekaji huru Demokrasia.

kuna mtu yoyote mwenye details za huyu kijana.
 
Una sh ngapi nikuambie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…