masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
Nimekutana na mtoto Exaud (ana miaka 12, darasa la 5) pale Mbalamwezi,mbele kidogo ya (Mafinga) Nyololo, njia ya Iringa -Mbeya.
Nimefurahia ubunifu wake na jinsi ambavyo Neno la Mungu limemkaa.
KILA MWENYE PUMZI AMUSIFU BWANA
Kizuri zaidi ni namba plate liyoiokota barabarani na "kusajili" pikipiki yake.
Hapo nikasimama na kumuuliza ametoka wapi, kasema ametoka mashine ya kusaga, katumwa na mama!
Hii imenikumbusha na mimi utotoni!
Hongera sana Exaud!