Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo usifanye sasa mama Ndenyi!!! hata kama ukiona kajamaa kako hakaeleweki piga chini tu!!! ili uwe salama!!! make wa kwanza kulia humu ni mimi kulikosa hilo tabasamu lako kila siku!!!
Una akili sana wewe Mzee!!! yaani kuna lidada la kichaga liliniachaga kitambo tena kwa dharau bidae likaniletea Mweee!!! nikalitoa Baru mpaka leo hatusalimianiNdiyo maana mimi nawauliza wanaume hivi huwa hujiulizi mara mbili tatu na kustuka unapoona mwanamke anajiletea mwenyewe kwako kirahisi?
Hushangai kwanini anavaa nguo za mitego?
Hushangai yeye anakupigia simu na kujutafuta kila wakati?
Hustuki tu?
Au ndiyo unachukulia kuwa unabahati ya kupendwa?
Yani kwamba wewe unangekewa au?
Tafakali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sanaDawa ya ukiwi ni kutopima tu.mi hadi waninyanyue kwa excavetor mkuu kwenda kupima. Hata wakifanya hivyo majibu watanipa kwa sms inayoanza na neno " kitambulisho lejea umepokea kiasi cha ...
Ndo ntaisoma na niyajue majibu
Sent using Jamii Forums mobile app