kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,002
- 11,929
Mambo ya kawaida tu hayoZilipendwa?? kapime uambiwe unao utajua kama ni zilipemdwa au toleo jipya
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kawaida tu hayoZilipendwa?? kapime uambiwe unao utajua kama ni zilipemdwa au toleo jipya
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Mkuu nyumban kwenu ni mkoa gan Mkuu,Nimepoteza kaka zangu wawili kwa ukimwi.. Hadi Leo huwa naogopa sana kuhusu huu ugonjwa.. Nakumbuka kaka yangu alivyofariki kwa huu ugonjwa mwaka 2010 nikiwa form four nililia sana. Acheni Jamani mambo ni hatari sana kuhusu huu ugonjwa.. Hapa ninapoandika Kuna kaka zangu tena wawili wanaishi na maambukizi ya ukimwi.. Tumebaki wawili tuu ambao tupo safe.. Kila nikiona habari za Ukimwi nasononeka nawakumbuka kaka zangu waliotangulia mbele za haki pia mawazo yananijia kuhusu Hawa kaka zangu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi. Inauma sana yaani ndugu zangu acha kabisa omba yasikukute maana sisi tuliobaki ndo tumekuwa walezi wa watoto walioachwa.
Onyo.. Mungu akikujalia Hali nzuri ya maisha itumie vizuri kwa sifa na utukufu wake Usije ukamkufuru mungu. Mungu akikutelekeza utapata pigo la maisha.. Hawa ndugu zangu waliofariki walikuwa na maisha mazuri sana kipindi sisi tupo wadogo ila walikosa hekima ya kutumia Mali zao badala yake wakaendekeza anasa.. Yaani Mimi hapa nilipo naogopa kweli ukimwi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa yaani ina harufu ya stigmatism...anashindwa kujua wapo rafiki au jamaa humu humu ambao Ni waathirika wa hili,na wengine ukute wala haikua makosa yao kwa kujitakiathread yako ni nzuri
sema tu umeiwasilisha kikanyaboya kanyaboya
halafu umekosa unyenyekevu,subira na ujasiri ktk namna bora ya kuiwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana. Jilinde
TumekeshaUfipa Dayaspora ndo mnaamka?
Kila mtu anaeutaka anaupata tu?Ukimwi upo wa kumtosha kila mtu.
Mnatumbua ruzuku na kamanda wa Anga sio?Tumekesha
Shoga hili limekalia na kuondoka nao anakuja kupayukia JFSasa mambo ya tulia na siasa yanatoka wapi we jamaa vipi kwan hii mada inahusu nini ?
Sent using Jamii Forums mobile app