Mtumishi 19
Member
- Feb 27, 2026
- 19
- 30
Daaaah hi ni maajabuHii ndo shida ya upungufu wa nguvu za kiume na kukosa sasampa
Halafu nashangaaga humu jamvini mnatupopoaga sana mbona sisi hatusemi kuwa out of wanaume 100 wenye nguvu za kiume ni only 5%
Mbona hatusemi jamani
Mimi nimeoa millenial mwenzangu, ana mwili mzuri sana japokuwa ameshazaa watoto 3.Picha niliyotumia ni ya ndio picha ya sasa ambayo inazunguka mitamdaoni na rihana kajifungua mtoto wake wa mwisho miaka miwili iliyopita.
Ni kweli uzazi ni moja ya factor inafanya wanawake kubadilika na kuonekana wamama zaidi. Kwahiyo kama unaona hiyo inaweza ikaleta utata kidogo then chagua dogodogo kama nilivyoshauri
Rihanna ameachana na Chris B ila amekuja kuzaa na kijana mdogo ambae amemzidi miezi 7 na jamaa Asap anajua kupiga mashine ni anamtungisha mimba juu ya mimbaMwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana
GMO mnakula kitu sio Organi unategemea utatoa kitu gani km sio ufyede?Kuna binti wa 1995 aliwahi kupost picha yuko na wadogo zake wa 2000, kimuonekano unaweza sema yeye ndiyo mdogo kwao.
Fitness muhimu sanasana kitambi, ni cha kukiondoa kabisa.Kwa haya madini nitatembeza like kwa kila mtuπ.
Na mimi ngoja niongezee kaushauri kidogo kwa wanaume wote,
Jitahidi kufanye mazoezi ili mwili uendane na umri wako, Wenye miili mikubwa watakua wamenielewa maana mtaani wanaonekana ni wakubwa kuliko umri wao.
Kwani shingapi mkeo au demu wako unaijua foleni yake?Ila wanaooa wasanii wana mioyo migumu labda iwe kwa ajili ya career zao, yaani unajua fulani na fulani wameichapa na wewe ndo unaiweka ndani.
Halafu ASAP ni wahuni kitambo angalia crew yao yote wote wamezaa na mastar ASAP ROCKY,ASAP FERG,ASAP THUGGIN,ASAP RICH wote wamezaa na mastaa wakubwa..Rihanna ameachana na Chris B ila amekuja kuzaa na kijana mdogo ambae amemzidi miezi 7 na jamaa Asap anajua kupiga mashine ni anamtungisha mimba juu ya mimba
Wengi tayari walishafanya makosa ya kiufundi. Wanaume tuna ego, kwahiyo wanaweza kuwa wabishi kidogo kukubali wamekosea. Lakini kadili siku zinavyoenda wataelewa taratibu. Uenda mabadiliko completely kabisa tusiyaone kwenye kizazi hikiMkuu Natafuta Ajira vijana wa kiuke wasipoelewa hizi dondoo zako za kila siku basi tena.
Huyu si ndo alichapwa kibao na mkewe mbele ya kamera. Hautakiwi kuzidiwa au kulingana umri na mkeo.Vipi, unampa ushauri gani EMMANUEL MACRON na mkewe BRIGITTE MARIE-CLAUDE MACRON.?
Emmanuel MACRON, kazaliwa December 1977, na mkewe BRIGITTE kazaliwa April 1953.
(wakati Emanuel anazaliwa, Brigitte alikuwa na umri wa miaka 24)
NB: Emmanuel Macron, ni Rais wa sasa (2017-present) wa Ufaransa.
Wanakipiga sana mashine mademu wanashoboka kuchokonolewa chini sio utani mpaka wanazaa ila si unajua wahuni ni wahuni tuHalafu ASAP ni wahuni kitambo angalia crew yao yote wote wamezaa na mastar ASAP ROCKY,ASAP FERG,ASAP THUGGIN,ASAP RICH wote wamezaa na mastaa wakubwa..
Umeanza π€£π€£πThis thread is a bitter pill for the ladies to swallow π
Yaah naijua, ila sio kama ya kina Rihana.Kwani shingapi mkeo au demu wako unaijua foleni yake?
Duhh Rihana kavimba vimba kinyama uso kama kanawia amiraMwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na rihana ana 37.
Umegundua nini?. Criss brown bado kijana mbichi kabisa anaeweza kuvutia hata hawa mabinti wanaochipukia wakina Tyler, wakati Rihana tayari ni mshangazi. Hawezi tena kuvutia wanaume wenye status kubwa mfano Cristiano Ronaldo.
Rihana mwenyewe aligundua hilo ndio maana baada ya kumaliza kula ujana na badboys wakina criss brown, drake n.k. Aliona menopause hii hapa acha atafute sehemu ya kutulia hata kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu.
Akaingia kazini kutafuta retirement plan, ndipo simp mmoja ambae alikua amewekwa kwa friendzone kwa miaka mingi anaitwa ASAP Rock akajitokeza kununua gazeti jioni. Ni dhahiri ukirudi miaka 19 nyuma wakati Rihana yupo kwenye ubora wake asingengekubali ku-settle na mwanaume wa level ya ASAP rock, kwa sababu kwa miaka hiyo alikua na options bora zaid levels za jay z.
Nataka nikwambie nini kijana. Moja ya kosa utakalolifanya kwenye mahusiano ni ku-settle na mwanamke ambae ni agemate wako. Nakushauri settle na mwanamke ambae umemzidi miaka 8-15.
Sababu pekee ya kukufanya ku-settle na age mate wako ni ikiwa mlianza mahusiano yenu tangu mkiwa wadogo. Lakini hawa wa kukutana nao ukubwani achana nao. At 30's a woman passes her prime, she is done with almost averything, while a man you're just getting started.
Mbali na menopause na mwanamke kuwahi kuzeeka vilevile agemate wako amekuzidi uzoefu na tricks zote kwenye nyanja ya mahusiano. Hii ni kwa sababu wanawake wanaanza kujihusisha na haya mambo mapema sana. Ni rahisi kumpata kijana wa kiume mwenye miaka 22 na hajawahi kufanya mapenzi, kuliko kumpata binti wa miaka 18 akiwa bado bikira. Mwanamke hatakiwi kukuzidi uzoefu kwa sababu wewe ndie unaenda kuwa kiongozi ndani ya nyumba
Niggaz, dating a woman of 26-30+ is not romance, it's rescuing mission. By this stage most of them have been through men you can't imagine, different bedrooms, different positions, different calibles. They have tested alphas, betas, players, hustlers, broke boys, rich boys and after years of exploration they want to rebrand themselves as serious women. Don't be deceived, its atrap. She is not looking for love anymore, she is looking for a retirememt plan.
Kumbuka pia, kuna wanaume ambao tayari washaoa hao agemates wao.. Infact hata hapa kwenye uzi wanaweza wakaja kujitetea, lakini sio kwamba hawaoni mantiki ya kinachoandikwa, isipokua wanatetea maamuzi ambayo tayari washayafanya. Maana ndio option pekee waliyobaki nayo kwa sababu hawawezi kurudisha muda nyuma. Sikatai hoja zao wala sipo hapa kuwaambia waachane na wake zao.
Nipo hapa kukusanua wewe kijana ambae bado upo upo kwanza. Najua wengi mnacheza kwenye interval age ya 25-35. Kijana, pool ya single mother, agemate na wanawake wenye miaka kuanzia 30, achana nayo,kwa sababu ukifanya risk assessment, potential loss ni kubwa zaidi ya potential benefits.
Remember, after many years of partying, living recklessly and exporation in dating pool, in the name of having fun. She will start looking for a naive and safe man who will ignore her past, carry her baggage, fix her mistakes and secure her future. Don't be that man. Date a woman in her prime. You didn't build your life to endup with a leftover.
Don't be a simp
Afanye mazoezi na diet ingawa sijui utaanza kumwambiaje maana kuna uwezekano mkubwa akachukulia personal.Mke wangu alikuwa ni pisi ya kwenda yaani huyo Rihana changanya na manzi mwingine mkali unayemjua. Mtoto wa kwanza wa pili mafuta yakaanza akapata ka kitambi flani hivi sema tu yuko na salio anabalance equation yaani na vile sipendi vitambi.
πNgoja niendelee kusoma maoni ya vijana
Ila najua ugomvi lazima utokee kwenye hii thread