G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,772
- 36,668
Kijana Ally Salum ameteuliwa na rais Magufuli kuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni. Kwakweli nimeshangazwa sana na uteuzi huu.
Kijana Ally Salum huwa ana sifa moja kuu na kamwe hawezi kuiacha hata lishuke jua! Sifa ya usaliti.
Sifa hii iliwahi kumfanya kuwa ndumilakuwili wa hali ya juu sana pale UDSM.
Nakumbuka katika migomo kama miwili hivi ya kupinga kuchangia ada ya elimu ya juu na ule wa kudai nyongeza ya hela ya kujikimu (boom) Kijana huyu alikuwa na ndimi mbili za ajabu! Kwanza ule mgomo wa kwanza aliwasaliti wanafunzi kwa kuambiwa na utawala wa chuo aanzishe mgomo mwingine nje ya ule mkubwa ili baadaye aingie chimbo na mgomo uwe umeisha! Kijana akavuta akaja kwa wanafunzi akaanzisha kamgomo kake hakufanikiwa na baadaye ikabidi arudi kujiunga na mgomo wa wenzake.
Cha ajabu mgomo wa pili wa kudai nyongeza ya hela ya kujikimu aliingia tena kwenye jambo lilelile na kuteka adhima kuu ya ujumbe wa mgomo akaanzisha mgomo mwingine tofauti kabisa hapa sijui napo alitumwa na nani? Sisi tunafanya mgomo wa kudai nyongeza yeye ananitosha mgomo wa kumng'oa spika wa bunge la chuo! Yan usalitiusaliti tu!
Ajabu ya hawa vijana wanaoitwa na TISS-CCM huko mashuleni wengi wao walipata kufeli jumla lakini mnakuja kukutana mbeleni kwenye muda uleule na hapo unabaki kushangaa tu! Huyu kijana kulikuwa na ishu kuwa hakuwahi kusoma History o-level ila akaja kuisoma Advance hapo unajiuliza inakuwaje? Pia yupo mmoja naye ni kigogo fulani hivi serikali hii hii ya Magufuli, yeye aliwahi kupata zero form six tena masomo ya PCM kwenye shule moja ya serikali ila baadaye tulikuja kukutana pale UDSM mwaka uleule! Huyu naye alikuwa bingwa wa kupindisha malengo ya wanafunzi kwenye migomo na kila jambo yupo kwenye front line! Wakishaingia wanabadili dhumuni la mgomo then baada ya muda mnajikuta kufeli kama mtamsikiliza!
Hawa ndo type ya kina Makonda na wengine! Kwenye hii nchi wana full maigizo.
Kijana Ally Salum huwa ana sifa moja kuu na kamwe hawezi kuiacha hata lishuke jua! Sifa ya usaliti.
Sifa hii iliwahi kumfanya kuwa ndumilakuwili wa hali ya juu sana pale UDSM.
Nakumbuka katika migomo kama miwili hivi ya kupinga kuchangia ada ya elimu ya juu na ule wa kudai nyongeza ya hela ya kujikimu (boom) Kijana huyu alikuwa na ndimi mbili za ajabu! Kwanza ule mgomo wa kwanza aliwasaliti wanafunzi kwa kuambiwa na utawala wa chuo aanzishe mgomo mwingine nje ya ule mkubwa ili baadaye aingie chimbo na mgomo uwe umeisha! Kijana akavuta akaja kwa wanafunzi akaanzisha kamgomo kake hakufanikiwa na baadaye ikabidi arudi kujiunga na mgomo wa wenzake.
Cha ajabu mgomo wa pili wa kudai nyongeza ya hela ya kujikimu aliingia tena kwenye jambo lilelile na kuteka adhima kuu ya ujumbe wa mgomo akaanzisha mgomo mwingine tofauti kabisa hapa sijui napo alitumwa na nani? Sisi tunafanya mgomo wa kudai nyongeza yeye ananitosha mgomo wa kumng'oa spika wa bunge la chuo! Yan usalitiusaliti tu!
Ajabu ya hawa vijana wanaoitwa na TISS-CCM huko mashuleni wengi wao walipata kufeli jumla lakini mnakuja kukutana mbeleni kwenye muda uleule na hapo unabaki kushangaa tu! Huyu kijana kulikuwa na ishu kuwa hakuwahi kusoma History o-level ila akaja kuisoma Advance hapo unajiuliza inakuwaje? Pia yupo mmoja naye ni kigogo fulani hivi serikali hii hii ya Magufuli, yeye aliwahi kupata zero form six tena masomo ya PCM kwenye shule moja ya serikali ila baadaye tulikuja kukutana pale UDSM mwaka uleule! Huyu naye alikuwa bingwa wa kupindisha malengo ya wanafunzi kwenye migomo na kila jambo yupo kwenye front line! Wakishaingia wanabadili dhumuni la mgomo then baada ya muda mnajikuta kufeli kama mtamsikiliza!
Hawa ndo type ya kina Makonda na wengine! Kwenye hii nchi wana full maigizo.