ni Fadhili yule niliyesoma nae Iyunga akahama tukiwa form 2, kama ni yeye big up sana kwani alifka shule na kuchaguliwa kiongoz wa afya, kweli uongozi ni karama.
asante kwa mrejesho mtoa mada jipe moyo usivunjwe na watu kama '' kiboko yenu''ndo wewe? Enhe
jifanye unasoma jina lake kiarabundo wewe? Enhe
Kijana huyo ataanza kazi rasmi kesho tar.30-4 ataendesha operation cku 5 mfululizo ktk vijij 7 vya kata ya ihanda .Kihistoria uchaguzi wa octoba 2010 ni kati ya wapambanaji waliokuwa mstar wa mbele kusaidiana na Silinde kuisambaratisha ccm.kijana huyo machachar ameamua akawabadilishe kutoka ccm kwend cdm kwani huko ndio amezaliwa kuanzia kesho 2taendelea kuwapa updates za mwanasheria huyo kitaaluma. Nawasilisha msf