Kijana aliyeisambaratisha CCM jimbo la Mbozi Magharibi, ahamishia majembe Mbozi Mashariki

Msf

Member
Nov 24, 2011
17
7
Kijana huyo ataanza kazi rasmi kesho tar.30-4 ataendesha operation cku 5 mfululizo ktk vijij 7 vya kata ya ihanda .Kihistoria uchaguzi wa octoba 2010 ni kati ya wapambanaji waliokuwa mstar wa mbele kusaidiana na Silinde kuisambaratisha ccm.kijana huyo machachar ameamua akawabadilishe kutoka ccm kwend cdm kwani huko ndio amezaliwa kuanzia kesho 2taendelea kuwapa updates za mwanasheria huyo kitaaluma. Nawasilisha msf
 
Kijana huyo ataanza kazi rasmi kesho tar.30-4 ataendesha operation cku 5 mfululizo ktk vijij 7 vya kata ya ihanda .Kihistoria uchaguzi wa octoba 2010 ni kati ya wapambanaji waliokuwa mstar wa mbele kusaidiana na Silinde kuisambaratisha ccm.kijana huyo machachar ameamua akawabadilishe kutoka ccm kwend cdm kwani huko ndio amezaliwa kuanzia kesho 2taendelea kuwapa updates za mwanasheria huyo kitaaluma. Nawasilisha msf

Hoja nzuri sana, lakini mbona unaficha sana?? Kama ni jembe la ukweli linafanya M4C, kuna shida gani ukilitaja kwa jina????
 
Hoja nzuri sana, lakini mbona unaficha sana?? Kama ni jembe la ukweli linafanya M4C, kuna shida gani ukilitaja kwa jina????

Mkuu bila shaka uko sahih, Anaitwa Fadhili Mwaya ,kamanda huyo hajawahi kujificha
 
safi sana pia hongera sana kamanda, natmai jitihada zako zitazaa matunda na kuwavuna wa kutosha toka ccm na kuwakomboa kwa kuwapeleka cdm,
 
Mungu azidi kuwatia nguvu.
2015 lazima tuwatoe wale maruhani wa magogoni.
 
Kijana huyo ataanza kazi rasmi kesho tar.30-4 ataendesha operation cku 5 mfululizo ktk vijij 7 vya kata ya ihanda .Kihistoria uchaguzi wa octoba 2010 ni kati ya wapambanaji waliokuwa mstar wa mbele kusaidiana na Silinde kuisambaratisha ccm.kijana huyo machachar ameamua akawabadilishe kutoka ccm kwend cdm kwani huko ndio amezaliwa kuanzia kesho 2taendelea kuwapa updates za mwanasheria huyo kitaaluma. Nawasilisha msf

Mumpatie ulinzi wa kutosha CCM wameanza na sera za kukata shingo wanaowapinga. Ninashauri vijana na viongozi wa CDM kuchukua tahadhari kwenye nyendo zao. It seems they are targeted for provacations ili wa-react na polisi kupata sababu za kuzuia maandamano yao.
 
Mumpatie ulinzi wa kutosha CCM wameanza na sera za kukata shingo wanaowapinga. Ninashauri vijana na viongozi wa CDM kuchukua tahadhari kwenye nyendo zao. It seems they are targeted for provacations ili wa-react na polisi kupata sababu za kuzuia maandamano yao.

Mkuu mulinzi wa chadema na viongozi pamoja na wanachama, wapenzi ni MUNGU cdm hakina jeshi ccm ndo wenyejeshi ushauli tuzidishe maombi
 
Kijana huyo ataanza kazi rasmi kesho tar.30-4 ataendesha operation cku 5 mfululizo ktk vijij 7 vya kata ya ihanda .Kihistoria uchaguzi wa octoba 2010 ni kati ya wapambanaji waliokuwa mstar wa mbele kusaidiana na Silinde kuisambaratisha ccm.kijana huyo machachar ameamua akawabadilishe kutoka ccm kwend cdm kwani huko ndio amezaliwa kuanzia kesho 2taendelea kuwapa updates za mwanasheria huyo kitaaluma. Nawasilisha msf

Sifa na pongezi nihaki yako kupewa vijana wengi wanajichimbia mijini hawakumbuki babu zao huko vijini uongozi cdm huyokijana apewe msaada unaotakiwa
 
Pamoja sana makamanda wa huko mbozi, Mungu jehova awalinde na kuwaepusha na hawa wakatashingo za watu (ccm)
 
Kwanza zambi mwenyewe hakutia sahihi ya kumkataa waziri mkuu kwa hiyo yale maneno ilikuwa mwendelezo wa unafiki wa ccm so 2015 KAZI ITAKUWA RAHISI MNO MAKAMANDA TUPO PAMOJA SANA SISI KWA HAPA ARUSHA MJINI 2015 HAWAKATIZI HATA KWA UCHAWI
 
Back
Top Bottom