Kijana huyo ataanza kazi rasmi kesho tar.30-4 ataendesha operation cku 5 mfululizo ktk vijij 7 vya kata ya ihanda .Kihistoria uchaguzi wa octoba 2010 ni kati ya wapambanaji waliokuwa mstar wa mbele kusaidiana na Silinde kuisambaratisha ccm.kijana huyo machachar ameamua akawabadilishe kutoka ccm kwend cdm kwani huko ndio amezaliwa kuanzia kesho 2taendelea kuwapa updates za mwanasheria huyo kitaaluma. Nawasilisha msf