Kijana afariki akidaiwa kujirusha toka ghorofani. Polisi wakanusha kwa kuwa mazingira hayaendani

Mwambieni anitafute tuongee na Waziri apewe hela yake
Maisha ni mazuri bado tunamhitaji
 
NSSF na hao PSPF pamoja na serikali ya CCM chini ya Magufuli ni matapeli,wadhulumati na wezi wa fedha za wavuja jasho ,haiwezekani nisubiri miaka 55 wakati maisha yenyewe mafupi haya
Lakini huu ni ubaladhuri kabisa, pesa ya kwako, afu wanakupangia mda wa kwenda kuchukua, kana kwamba wameongea na Mungu kuwa utafika miaka 55. Mbona wao hawasubiri hiyo miaka au ndo wanawapangia wanyonge matumizi.
 
Halafu unakuta kuna puuzi moja linakuja kujifanya tetezi la wanyonge, kutoa kauli za kujifanya liko upande wa wanyonge kumbe nyuma ya pazia yeye ndo baradhuli kuu. Ewe Mungu pitisha shani yako juu ya hawa wanafiki wanaoendekeza dhulma, waangamize kama wanavyowaaangamiza wasiokuwa na hatia.
Wafe wote na vizazi vyao.Wakandamizaji wakubwa hawa
 
  • Thanks
Reactions: xox
TUNAKOELEKEA SASA NI KAMA LIBYA hivi huyu jamaa angekuwa na bomu nahisi angevaa bomu na kujilipua humo ndani ya ofisi au angepewa AK 47 si angefyeka watu mle ndani kwa jinsi yeye alivyojikatia tamaa ya kuishi hapa dunia,,,,
lakini hiyo meseji wajitathimi wahusika watu wamebadirika wamekuwa kama simba wasione wapole wanapokuja huko kwa ofisi ....
 
Kijana mmoja amejirusha kutoka ghorofani na kufariki dunia papo hapo baada ya kufuatilia mafao yake katika ofisi ya PSPF JIJINI MWANZA.

Ambapo alipewa mlolongo mrefu wa fedha yake na kuambiwa sheria ya Sasa ya mafao inamtaka MPAKA AFIKISHE MIAKA 55 ndipo aende akachukue pesa yake Hali iliyopelekea kuamua kujirusha kutoka ghorofan katika jengo la ofisi hizo.

R I.P BROView attachment 1096159
Huyo kajirusha kutokana na mambo ya kishirikina. Kwa taarifa yako, siku hizi teknolojia ya uchawi imeboreka kiasi kwamba zile mbinu za zamani. Siku hizi unajiua mwenyewe tu.

Kwa huyo kijana ukiangalia kwa makini, hana jeraha wala hakuna damu.
 
Back
Top Bottom