Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Huo mkutano uliandaliwa na viongozi wa serikali sio chama ila waliwakaribisha wa chama tawala waongee tofautisha Na mikutano inayoaandaliwa Na viongozi wasio wa serikaliNdugu watanzania wenzangu huu ni mkutano mwanza Leo uwanja wa furahisha Mh Katibu na itikadi na uwenezi Mh pole pole akihutubia na Mbunge wa ilemela swali kwa watanzania wenzangu bwana mkubwa alikataza mikutano ya hadhara kila Mbunge afanye kwenye jimbo lako swali nauliza pole pole ni Mbunge wa mwanza? Jamani watanzania wenzangu hii kumbe Ccm wao wanaruhusiwa ila ukawa ndiyo hawaruhusiwi ubaguzi huu wa vyama hatuwezi kukubali na sisi ukawa tuanze na mikutano ya hadhara vyama vyote viko kisheria bana sasa tunasema inatoshaaaView attachment 530078
Katika "utawara" wangu chochote nisichokitaka ni uvunjifu wa sheria na "kire" ninachokitaka basi ni sheria. Sipangiwi na mtu.Ndugu watanzania wenzangu huu ni mkutano mwanza Leo uwanja wa furahisha Mh Katibu na itikadi na uwenezi Mh pole pole akihutubia na Mbunge wa ilemela swali kwa watanzania wenzangu bwana mkubwa alikataza mikutano ya hadhara kila Mbunge afanye kwenye jimbo lako swali nauliza pole pole ni Mbunge wa mwanza? Jamani watanzania wenzangu hii kumbe Ccm wao wanaruhusiwa ila ukawa ndiyo hawaruhusiwi ubaguzi huu wa vyama hatuwezi kukubali na sisi ukawa tuanze na mikutano ya hadhara vyama vyote viko kisheria bana sasa tunasema inatoshaaaView attachment 530078
Tatizo chadema wanajisahau hawajui umuhimu wa serikali wala chama tawala wakipata udiwani tu Na ubunge wanaota mapembe wanajiona tayari wao ndio maraisi wa eneo .msiba wa ndesamburo ulionyesha picha halisi Ya ushamba wa kisiasa walionao chadema hawakumpa nafasi kiongozi wa serikali wala chama tawala hata kusalimia halafu waliweka mabango kuwa ndesamburo ni raisi wa Kilimanjaro. Wapare ambao wako mkoa huo huo wa Kilimanjaro wakasema hawa wachaga bure kabisa huku upareni sehemu kubwa ni CCM wanatudharau na kumfanya huyo mchaga ni raisi wetu wapare wakati hajawahi kuwa hata diwani wala mbunge wetu .hapo wameambulia udiwani Na viti vya ubunge vya kuokoteza wakipewa nchi si wataehuka? Chadema malimbukeni na washamba tena sana wa kisiasaTunajionea Maajabu Nchi Hii Yaani
James Mbatia Juzi Kwenye Bunge La Bajeti Aliongea Vizuri Sana
Serikali Ipeleke Bungeni Iifanyie Katiba Marekebisho Ili Kuwa Na Ccm Pekee Yake Hapa Nchini Kuliko Kiini Macho Hiki Kinachoendelea Sasa
...CCM tuwapinge Kwa nguvu zote hii nchi sio Mali yao nawachukia CCM from the bottom of my heart
.....hujatuambia kama huo mkutano ulikuwa wa mbunge wa ilemela au polepole; inavyoonekana mkutano ulikua ni wa mbunge wa ilemela.