Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Ndugu watanzania wenzangu huu ni mkutano mwanza Leo uwanja wa furahisha Mh Katibu na itikadi na uwenezi Mh pole pole akihutubia na Mbunge wa ilemela swali kwa watanzania wenzangu bwana mkubwa alikataza mikutano ya hadhara kila Mbunge afanye kwenye jimbo lako swali nauliza pole pole ni Mbunge wa mwanza? Jamani watanzania wenzangu hii kumbe Ccm wao wanaruhusiwa ila ukawa ndiyo hawaruhusiwi ubaguzi huu wa vyama hatuwezi kukubali na sisi ukawa tuanze na mikutano ya hadhara vyama vyote viko kisheria bana sasa tunasema inatoshaaa