Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Wakuu , natanguliza salamu , na baada ya Salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja .
Kwa mujibu wa Ratiba iliyotolewa na Chadema Kanda kabambe ya Nyasa ni kwamba leo 25/02/2023 kutavurumishwa mikutano miwili mikubwa ya hadhara , yaani tunadungua ndege wawili kwa jiwe moja .
Asubuhi ni Mlowo Mbozi , Mchana hadi machweo ni Mbeya Mjini .
Pichani ni Mbunge aliyeporwa ushindi kwa kutumia Tume ya Dr Mahera mwaka 2020 Mh Pascal Haonga akihutubia wapiga kura wake asubuhi ya leo .
Kwa mujibu wa Ratiba iliyotolewa na Chadema Kanda kabambe ya Nyasa ni kwamba leo 25/02/2023 kutavurumishwa mikutano miwili mikubwa ya hadhara , yaani tunadungua ndege wawili kwa jiwe moja .
Asubuhi ni Mlowo Mbozi , Mchana hadi machweo ni Mbeya Mjini .
Pichani ni Mbunge aliyeporwa ushindi kwa kutumia Tume ya Dr Mahera mwaka 2020 Mh Pascal Haonga akihutubia wapiga kura wake asubuhi ya leo .