Vipi Buji Buji, ule uzi wako wa wowowo yako ni laini, kubwa mno na inatikisika mpaka inakupa karaha; Kuna watu walikuuliza wewe ni male au female; jibu hapa
Kwi kwi kwiii, Huyu labda alikua anatuma kwa mama watoto wake!!! maana kama angekua anatuma kwa Waziri wa mambo ya ndani angeandika Ministry of interior au Ministry of home affairs
Vipi Buji Buji, ule uzi wako wa wowowo yako ni laini, kubwa mno na inatikisika mpaka inakupa karaha; Kuna watu walikuuliza wewe ni male au female; jibu hapa
Hapana sina undugu nae, mwanzoni nilijiita Chapa Kazi, sasa nikaona kuna mwingine anajiita Chapakazi (cheki mpangilio wa kuandika hilo jina), kwa hasira nikaomba kwa mods nijiite Chapa Nalo Jr, hata sijui nilimaanisha nini.