GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 5,387
- 7,371
Bora tu imetokea kwa Mkenya! Ingelikuwa ni Mtanzania angekiona cha moto kwa mashambulizi ambayo angeyapata mitandaoni😄😄😄
Kiingereza si tatizo kwa wasomi wa Kenya, Rais Ruto akiwemo. Lakini awamu hii kakutana na Mkenya aliyeizoea American accent. Alipoona hamwelewi, alimwuliza kama anaweza akaongea kwa Kiswahili.
Yaani Kiswahili kilionekana chepesi kukielewa kuliko Kiingereza cha huyo mwanamke.
Hii iwatie moyo wale wote wasiojiamini katika hii lugha! Ukishindwa kuielewa, usione haya kuuliza hata kama utachekwa. Lakini pia usiache kuendelea kujifunza.
Kiingereza si tatizo kwa wasomi wa Kenya, Rais Ruto akiwemo. Lakini awamu hii kakutana na Mkenya aliyeizoea American accent. Alipoona hamwelewi, alimwuliza kama anaweza akaongea kwa Kiswahili.
Yaani Kiswahili kilionekana chepesi kukielewa kuliko Kiingereza cha huyo mwanamke.
Hii iwatie moyo wale wote wasiojiamini katika hii lugha! Ukishindwa kuielewa, usione haya kuuliza hata kama utachekwa. Lakini pia usiache kuendelea kujifunza.