ChekoFagia
Senior Member
- Sep 20, 2025
- 115
- 339
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa kuna watu wanaohoji sababu za yeye kutembelea mikoa mbalimbali nchini, akasisitiza kuwa jukumu hilo lipo wazi kikatiba.
Akihutubia wananchi wa Ikungi, Kata ya Puma, Mkoani Singida leo Januari 22, 2026, amesisitiza kuwa chama kina wajibu wa kuhakikisha serikali inatekeleza kikamilifu ahadi ilizotoa kwa wananchi.
“Najua wapo baadhi ya watu watasema, ‘kwanini Mwenezi anazunguka-zunguka? Mwenezi anafanya nini mikoani?’ Jibu ni moja tu—waambieni Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi kwa mujibu wa Katiba ya CCM ana uwezo wa kwenda popote nchini kuangalia uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Sisi ndiyo tulioiweka serikali madarakani, hivyo tuna wajibu wa kwenda kuisimamia serikali yetu ,” amesema.
Akihutubia wananchi wa Ikungi, Kata ya Puma, Mkoani Singida leo Januari 22, 2026, amesisitiza kuwa chama kina wajibu wa kuhakikisha serikali inatekeleza kikamilifu ahadi ilizotoa kwa wananchi.
“Najua wapo baadhi ya watu watasema, ‘kwanini Mwenezi anazunguka-zunguka? Mwenezi anafanya nini mikoani?’ Jibu ni moja tu—waambieni Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi kwa mujibu wa Katiba ya CCM ana uwezo wa kwenda popote nchini kuangalia uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Sisi ndiyo tulioiweka serikali madarakani, hivyo tuna wajibu wa kwenda kuisimamia serikali yetu ,” amesema.