GE2025 Kihongosi: Vijana wa nchi hii watambue wana wajibu wa kujiunga CCM

GE2025 Kihongosi: Vijana wa nchi hii watambue wana wajibu wa kujiunga CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema, "Vijana wa nchi hii watambue wana wajibu wa kujiunga CCM, pia wana wajibu wa kujua matumaini na matarajio ya maendeleo tuliyofikia leo yametokana na Chama hiki, kwasababu hatujawahi kuongozwa na Chama kingine"

 
Screenshot_20250823-084911~2.png
 
Duh, wajibu?

Najua haki hutangulia halafu wajibu unafuata...

Kihongosi anajua vijana hatuna ajira?

Je anajua hata ajira kidogo zinazotoka, zinahitaji uwe na mtu wa kukushika mkono?

Mfano ajira za ualimu, kabla ya usaili watu walipata ajira kupitia wabunge...

Baada ya usaili kuingia, rushwa imetamalaki...

Kihongosi anayajua haya?

Tendeni haki vijana watakuja wenyewe ccm...
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema, "Vijana wa nchi hii watambue wana wajibu wa kujiunga CCM, pia wana wajibu wa kujua matumaini na matarajio ya maendeleo tuliyofikia leo yametokana na Chama hiki, kwasababu hatujawahi kuongozwa na Chama kingine"

Huyu muuaji anaongea utumbo, fala na muuaji, hana maana. Anapanua domo lake kutapika upumbavu wake.
 
Kwani hiyo nafasi lazima fyuzi zimelegea kidogo. Naona anatafuta utambulisho wa nguvu
 
nafasi kubwa sana kwake,
Kipindi hiki cha kampeni kinahitaji propaganda za kueleweka,
haitafika mwezi 11
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema, "Vijana wa nchi hii watambue wana wajibu wa kujiunga CCM, pia wana wajibu wa kujua matumaini na matarajio ya maendeleo tuliyofikia leo yametokana na Chama hiki, kwasababu hatujawahi kuongozwa na Chama kingine"

Vijana wana wajibu wakuona ccm iking'ooka mamlakani kwani imedhihirisha imeshindwa kutimiza ndoto za vijana na Watanzania
 
Back
Top Bottom