Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi akizungumza na waaandishi wa habari katika leo Oktoba 5, 2025 katika ukumbi wa White House CCM Makao Makuu Dodoma ameeeleza kuhusu Kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) zinazoendelea ambapo Mgombea nafasi ya urasi Rais Samia tayari ameshafanya mikutano zaidi ya 77 kwenye Mikoa 21
Kihongosi ameeleza pia kuhusiana na ahadi na sera zilizotolewa na Mgombea urais akibaini kuwa baadhi ya ahadi zimekwisha tekelezwa kwa asilimia 100% ikiwemo Mapinduzi katika Shirika la reli Tanzania(TRC) lina vichwa vya treni 17 na mabehewa 65 na treni ya mizigo imeshawasili, ujenzi wa daraja la JPM Kigongo-Busisi mradi uligharimu zaidi ya Milioni 700
Kihongosi ameeleza pia kuhusiana na ahadi na sera zilizotolewa na Mgombea urais akibaini kuwa baadhi ya ahadi zimekwisha tekelezwa kwa asilimia 100% ikiwemo Mapinduzi katika Shirika la reli Tanzania(TRC) lina vichwa vya treni 17 na mabehewa 65 na treni ya mizigo imeshawasili, ujenzi wa daraja la JPM Kigongo-Busisi mradi uligharimu zaidi ya Milioni 700