GE2025 Kihongosi: CCM imebeba matumaini ya Tanzania

GE2025 Kihongosi: CCM imebeba matumaini ya Tanzania

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 27, 2025 Mkoani Mwanza ameeleza namna ambavyo Chama cha Mapinduzi (CCM) inaaminika na wananchi kwa kusikiliza na kutekeleza shida na changamoto za wananchi

" Idadi ya watu zaidi ya Milioni 25 kuja direct wanajua kwamba chama hiki kimebeba Matumaini ya nchi yetu" - amesema kihongosi

Soma pia GE2025 - Kihongosi: Rais Samia amefuatiliwa mtandaoni mara Milioni 164. 9, hii inadhihirisha kukubalika kwake kama Mgombea Urais wa CCM


 
Matumaini ya Tanzania ni yapi?
 
Back
Top Bottom