Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,638
- 4,183
Jamaa Mmoja alimtembelea mama mkwe wake,akiwa ameketi nje barazani akamwona mama mkwe anamfukuza kuku,na mama mkwe aliporud mazungumzo yao yakawa ivi: jamaa-Msimuweke Mchuzi Mumkaange tu!, mama mkwe: wala huyu kuku hachnjwi ila nampeleka akaatamie!. DU jamaa kabaki macho hayoo....