Kihasibu, min-me anautajiri wa 1 Billion+

Kihasibu, min-me anautajiri wa 1 Billion+

Mfilisiti

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2020
Posts
460
Reaction score
2,320
Habari za tajiri muulize Masikini,
Ukibisha pinga kwa hoja.
Naam kihasibu min -me anao utajiri wa angalau 1B.

Unasema Mfilisiti unamaana gani?
Huwezi kupata hasara ya 40M ikiwa huna sustainable income. na hiii ni kwa project moja.

Hasara huendana na kipato. Jiulize wewe hapo ulipo hasara kubwa kuipata ni shngapi?? then vuta picha your financial status.

Mimi hasara moja wapo kuipata nilimpa konda 10k akate nauli yake, then konda akavunga ile nimeshuka ndo baadae nakumbuka sikuchukua pesa yangu😎

Mkuu min -me hongera sana kama unakaribisha business proposal zipo😎

#Kila mtu hudhani atatoboa.
#Kila mtu hudhani atakufa akiwa mzee.


Credit where credit is due.
Naam Mfilisiti.
 
Na Echolima1 na Chizi Maarifa wao pia wanautajiri mkubwa wameukalia
Viatu vya Echolima1
20260510_212802.jpg
 
Back
Top Bottom