Kigwangallah matatani kwa tuhuma za ufisadi

Kigwangallah matatani kwa tuhuma za ufisadi

Kigwangala anaweza kuwadanganya watu wasiomjua lakini siyo sisi tuliowahi kufanya naye kazi na tunaomfahamu kiundani.

Niliwahi kuandika hapa hata siku zilizopita kuwa Kigwangala ni mwizi. Aliwahi kuiba hata baruti, sijui alizipeleka wapi. Na hili hawezi kukanusha na wala hajawahi kukanusha.

Kusikia Kigwangala amekwepa kodi sikushangaa kama ambavyo nikisikia kuwa amemwibia mwajiri au mtu mwingine yeyote. Kigwangaa anafaa sana ndani ya CCM maana huko wengi wapo hivyo. Huyu namfahamu na ninajua wazi kabisa kuwa ha hata chembe ya uadilifu, hataiba endapo hana uwezo wa kukiiba lakini siyo kwa sababu ya uadilifu. He is corrupt and a greaf opportunist like most of CCM leaders.

KIngwangwalah waliuza hata mipira ya maziwa ya wanawake waliokatwa maziwa alipo kuwa WAMA kwa salma kikwete usishangae wizi wake
 
Dr. Vitumbua umeingia kwenye 18.

Yani huyu dogo Kigwangallah bungeni alikua anasimama na kushambulia wapinzani bila hoja huku povu likimtoka kama amekunywa mbolea ya chumvi-chumvi yani he purports to be 'mzalendo' kumbe ni mmoja kati ya mafisadi wa ccm tunaowatafuta kwa udi na uvumba.

Najua upo humu JF, nakuhakikishia mzee wa vitumbua hili tunakumaliza nalo kabisa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Nimekusoma kaka...pamoja sana
 
Kigwangala anaweza kuwadanganya watu wasiomjua lakini siyo sisi tuliowahi kufanya naye kazi na tunaomfahamu kiundani.

Niliwahi kuandika hapa hata siku zilizopita kuwa Kigwangala ni mwizi. Aliwahi kuiba hata baruti, sijui alizipeleka wapi. Na hili hawezi kukanusha na wala hajawahi kukanusha.

Kusikia Kigwangala amekwepa kodi sikushangaa kama ambavyo nikisikia kuwa amemwibia mwajiri au mtu mwingine yeyote. Kigwangaa anafaa sana ndani ya CCM maana huko wengi wapo hivyo. Huyu namfahamu na ninajua wazi kabisa kuwa ha hata chembe ya uadilifu, hataiba endapo hana uwezo wa kukiiba lakini siyo kwa sababu ya uadilifu. He is corrupt and a greaf opportunist like most of CCM leaders.
Unanifahamu vipi? Mbona unajipendekeza wewe...mimi hata sikujui wala sina haja ya kukujua
 
Si vyema kudharau kila habari inayotolewa na Tanzania Daima kwa kuwa nyie ni CCM, hata Chadema hampaswi kudharau kila habari inayowahusu eti kwa sabab imetolewa na Uhuru et al, bali kufanyia kazi habari yenyewe.
Hivi kwa nini media houses zinakubali nyumba za vyama fulani?
 
Hivi kwa nini media houses zinakubali nyumba za vyama fulani?

Dr vitumbua ..kwanza rudisha jina la watu wewe ni hamisi bagaile...pili wewe mpigaji kweli na utetezi wako ni dhaifu sana...
 
Unanifahamu vipi? Mbona unajipendekeza wewe...mimi hata sikujui wala sina haja ya kukujua

Unafahamika kwa kufoji jina na kutumia jina la mtu mwingine..wewe ni bagaile aka dr vitumbua...bado inakuja ile kashfa yako ya kuiba hela za tamasha la ukimwi wakati uko muhimbili....2001 ...utaelewa tu tunakufahamu vipi
 
Sijui udini nani kauanzisha Tanzania..sijui kwa kweli
 
Khaaaaa.....!
Yaaaani ndio kajibu hoja hapa juu ?
Daadeki ! Au ndio anatumia ile haki yake ya kikatiba ya kukataa kuhojiwa mpaka Mahakamani ?

Maskini Dr HKingwangwallah, Umenifadhaisha sanaaaa..... Nimemkumbuka ghafla Bashe mlimvyompora Ushindi wewe na WAMA yenuu...
 
Back
Top Bottom