babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,326
hahahahaha,chezea ccm wewe
hata kama ni la udaku unatakiwa kusema kama ni kweli au uongo. Kwa habari hii je, hakusamehewa kodi? Je hakuingiza bidhaa hizo? Je kampuni si yake? Je, hakuuza hivyo vifaa vilivyo samehewa kodi? Ujue kwa kariba yako hukutakiwa kusema tu ooooh! Tanzania daima ni gazeti la udaku. Jibuni tuhuma hizo
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Cheap news...Tanzania Daima la Mbowe na chadema! Hakuna kitu hapo...
Mkuu, upo sawa kabisa kuwa kuna Wa Kaskazini (Wa Sukuma) na Wa Kusini (Wa Dakama).
Ndiyo maana kwenye Data za ukweli, Wasukuma na Wanyamwezi (Wadakama) wote huitwa Wanyamwezi na ndiyo wanaoleta hiyo idadi inayosema Wanyamwezi ndiyo kabila kubwa Tanzania kwa asilimia zaidi ya 14.
Mdaku atasoma udaku ndo ataujua udaku.automatically ww ni mdakuTanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Hebu tuone kama Kigwangala atalipeleka gazeti mahakamani kwa kuchafuliwa jina!Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...