Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,037
hivi unajua maxcom aliondolewa mwaka gani hata unasema mwaka jana mapato yameongezeka? Kama yameongezeka kwa nini uendeshaji apewa mtu mwingine ikiwa msingi wa uhai wa dart ni mapato?Max malipo alikuwa hakusanyi mapato unapaswa kulijua hilo kwanza, max malipo walikua naa mfumo unaotumiwa tu na dart kukusanya pesa. Ni sawa na useme SELCOM wanakusanya mapato.
Hata hivyo baada ya max malipo mbona mapato mwaka Jana na mwaka huu yameongezeka?