Kizimkazimkuu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2007
- 337
- 234
....suala lingine linalobishaniwa hapa kuhusu nani alishiriki mgomo upi ni vizuri kuwekana sawa; mgomo ambao Kigwangalla na pengine Mashinji alishiriki ni wa mwaka 2005 na sio huu wa majuzi ambao ulihusisha Ulimboka kutekwa nk. Ni vizuri kujua kuwa mwaka 2005 wakati wa mgomo huo Dr. Ulimboka na Hamisi Kigwangalla (ambao ni clasmates) walikuwa interns na Mashinji wakati huo alikuwa ni MMed student.