Kigwangalla awashangaa wanaobeza ununuzi wa ndege

Kigwangalla awashangaa wanaobeza ununuzi wa ndege

MPadmire

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
3,956
Reaction score
3,245
Ticket za bei ya juu ni moja wapo ya sababu inafanya Tanzania expensive

Kwa nini watalii watue Kenya Kwanza ndio wapande Shuttle kuja Tanzania?

Flight tickets to Kenya are Much cheaper

Tumuunge Mkono Rais Magufuli kwa Ununuzi wa Rais, na tumshauri nini cha kufanya kuepuka hasara

Source: Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege

Moja wapo ya Sababu za Ticket za ndege kuwa ghali kuja Tanzania ni hizi hapa chini:

- Landing fee KIA na Dar Airport ni kubwa sana

- Mafuta ya ndege kodi zake kubwa Tanzania

- Upungufu wa ndege za kuja Tanzania, Air Tanzania itasaidia, Rais anajitahidi

Nyongeza: idadi ya watalii Tanzania ni ndogo sana, na ongezeko halilingani na uzuri na Upekee wa vivutio vya Utalii

Wapo baadhi wanashangilia kwa ongezeko dogo hili, Too low

Wake up, kaza buti

Inatakiwa Kila mwaka ongezeko wa watalii iwe Laki tano,

Laki moja tu mnashangilia?

Ni sawa na mtoto wa Mwaka mmoja hajatembea bado, akitembea na umri wa mwana na nusu, eti unashangilia, Uzuzu huo.
 
Kwanza kutoka nrb hadi masai mara ni km 169 na kutoka kia hadi ngorongoro ni km 225 kama wewe ungeshukia wapi? Kwanini tusiweke lami uwanja wa musoma na kufungua geti katika kijiji cha nyamswa ni umbali wa km 40 tu.

Pili kwanini tusijenge uwanja bunda ni 20km uko serengeti. Kwanini tusiufanye uwanja wa Mwanza kuwa international watalii wakasafiri kwa boat hadi nyatwali na dabaga. Wakaingia serengeti.
 
Ticket za bei ya juu ni moja wapo ya sababu inafanya Tanzania expensive

Kwa nini watalii watue Kenya Kwanza ndio wapande Shuttle kuja Tanzania?

Flight tickets to Kenya are Much cheaper

Tumuunge Mkono Rais Magufuli kwa Ununuzi wa Rais, na tumshauri nini cha kufanya kuepuka hasara

Source: Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege

Moja wapo ya Sababu za Ticket za ndege kuwa ghali kuja Tanzania ni hizi hapa chini:

- Landing fee KIA na Dar Airport ni kubwa sana

- Mafuta ya ndege kodi zake kubwa Tanzania

- Upungufu wa ndege za kuja Tanzania, Air Tanzania itasaidia, Rais anajitahidi

Nyongeza: idadi ya watalii Tanzania ni ndogo sana, na ongezeko halilingani na uzuri na Upekee wa vivutio vya Utalii

Wapo baadhi wanashangilia kwa ongezeko dogo hili, Too low

Wake up, kaza buti

Inatakiwa Kila mwaka ongezeko wa watalii iwe Laki tano,

Laki moja tu mnashangilia?

Ni sawa na mtoto wa Mwaka mmoja hajatembea bado, akitembea na umri wa mwana na nusu, eti unashangilia, Uzuzu huo.
I see you contradicting yourself. Au ndio akili za usiku??
 
Kwanza kutoka nrb hadi masai mara ni km 169 na kutoka kia hadi ngorongoro ni km 225 kama wewe ungeshukia wapi? Kwanini tusiweke lami uwanja wa musoma na kufungua geti katika kijiji cha nyamswa ni umbali wa km 40 tu.

Pili kwanini tusijenge uwanja bunda ni 20km uko serengeti. Kwanini tusiufanye uwanja wa Mwanza kuwa international watalii wakasafiri kwa boat hadi nyatwali na dabaga. Wakaingia serengeti.
Nakuunga mkono, ushauri kuntu. Tumeshuhudia viwanja vya ndege vukijengwa maeneo yasiyo na tija na kuacha maeneo kama hayo uliyoyataja kwa ustawi wa biashara ya utalii.
 
Kwanza kutoka nrb hadi masai mara ni km 169 na kutoka kia hadi ngorongoro ni km 225 kama wewe ungeshukia wapi? Kwanini tusiweke lami uwanja wa musoma na kufungua geti katika kijiji cha nyamswa ni umbali wa km 40 tu.

Pili kwanini tusijenge uwanja bunda ni 20km uko serengeti. Kwanini tusiufanye uwanja wa Mwanza kuwa international watalii wakasafiri kwa boat hadi nyatwali na dabaga. Wakaingia serengeti.

Acha kwanza tumalizie Chato international Airport, iko strategical zaidi kwa wakati huu.
 
Ticket za bei ya juu ni moja wapo ya sababu inafanya Tanzania expensive

Kwa nini watalii watue Kenya Kwanza ndio wapande Shuttle kuja Tanzania?

Flight tickets to Kenya are Much cheaper

Tumuunge Mkono Rais Magufuli kwa Ununuzi wa Rais, na tumshauri nini cha kufanya kuepuka hasara

Source: Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege

Moja wapo ya Sababu za Ticket za ndege kuwa ghali kuja Tanzania ni hizi hapa chini:

- Landing fee KIA na Dar Airport ni kubwa sana

- Mafuta ya ndege kodi zake kubwa Tanzania

- Upungufu wa ndege za kuja Tanzania, Air Tanzania itasaidia, Rais anajitahidi

Nyongeza: idadi ya watalii Tanzania ni ndogo sana, na ongezeko halilingani na uzuri na Upekee wa vivutio vya Utalii

Wapo baadhi wanashangilia kwa ongezeko dogo hili, Too low

Wake up, kaza buti

Inatakiwa Kila mwaka ongezeko wa watalii iwe Laki tano,

Laki moja tu mnashangilia?

Ni sawa na mtoto wa Mwaka mmoja hajatembea bado, akitembea na umri wa mwana na nusu, eti unashangilia, Uzuzu huo.
Watalii wa maporini ni 20% ya watalii duniani wakati watalii wa fukwe ni 65%. Tumeboreshaje fukwe zetu? Tunisia na morroco hawana hata sanamu ya tumbili je tunawazidi kwenye mapato ya utalii? Lets think wisely
 
Watalii wa maporini ni 20% ya watalii duniani wakati watalii wa fukwe ni 65%. Tumeboreshaje fukwe zetu? Tunisia na morroco hawana hata sanamu ya tumbili je tunawazidi kwenye mapato ya utalii? Lets think wisely
Point mkuu,focus lazima ihamie kwenye fukwe na maendeleo.Leo ukisafiri Malaysia,Dubai or Korea Kusini etc tunaenjoy madhari ya maendeleo na kujifunza sio punda au ngedere.Just imagine daraja la kigamboni na mwendokasi vinavyovutia watu
 
I wonder kama Kigwangala hajui kuwa tourism infrastructure sio ndege. Tukiwekeza "vizuri" kwenye "customer centered tourism infrastructure" ndege zitakuja tu.
Duniani "internationally" hakuna uhaba wa ndege.
Akiweza kulifanya jiwe lielewe kuwa Air Tanzania haitaweza kwenda London, New York au Beijing kuwaswaga watalii na kuwaleta Dar na KIA kwa lazima atakuwa amelisaidia sana taifa letu hili linalolazimishwa kuitwa changa na CCM.
 
sasa si wapunguze hizo Landing fees ili ndege zitue na watalii hapa nchini? Tuna vivutio vingi vya utalii kuliko Kenya na pesa yetu ni ndogo kuliko Kenya. Tungepung7za vizuizi visivyo na lazima watalii wangefurik.
 
Kaskazin si ndio walishika wizara au idara sasa wajenge Bunda? Strategic plan ilikuwa kuendeleza ukanda ndio maana Leo upande mwingine
 
Ticket za bei ya juu ni moja wapo ya sababu inafanya Tanzania expensive



Kwa nini watalii watue Kenya Kwanza ndio wapande Shuttle kuja Tanzania?



Flight tickets to Kenya are Much cheaper



Tumuunge Mkono Rais Magufuli kwa Ununuzi wa Rais, na tumshauri nini cha kufanya kuepuka hasara



Source: Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege



Moja wapo ya Sababu za Ticket za ndege kuwa ghali kuja Tanzania ni hizi hapa chini:



- Landing fee KIA na Dar Airport ni kubwa sana



- Mafuta ya ndege kodi zake kubwa Tanzania



- Upungufu wa ndege za kuja Tanzania, Air Tanzania itasaidia, Rais anajitahidi



Nyongeza: idadi ya watalii Tanzania ni ndogo sana, na ongezeko halilingani na uzuri na Upekee wa vivutio vya Utalii



Wapo baadhi wanashangilia kwa ongezeko dogo hili, Too low



Wake up, kaza buti



Inatakiwa Kila mwaka ongezeko wa watalii iwe Laki tano,



Laki moja tu mnashangilia?



Ni sawa na mtoto wa Mwaka mmoja hajatembea bado, akitembea na umri wa mwana na nusu, eti unashangilia, Uzuzu huo.



Upungufu wa watalii hautokani na ndege bali tozo kubwa kwenye sector ya utalii. Watalii wanakomolewa, hakuna mazingira rafiki ya kuwavutia zaidi ya kuwabamiza! Kigwangala atakuja hapa atuambie nch ka Mauritius wao wana ndege ngapi?
 
Watalii wa maporini ni 20% ya watalii duniani wakati watalii wa fukwe ni 65%. Tumeboreshaje fukwe zetu? Tunisia na morroco hawana hata sanamu ya tumbili je tunawazidi kwenye mapato ya utalii? Lets think wisely

Tumbili mtu huyu mwanasiasa aliyeko chama kijani au mnyama kama mnyama?
 
Mtu kapewa uwaziri. Mlitegemea aseme nini?
Hamjamuona kitila mkumbo
 
Point mkuu,focus lazima ihamie kwenye fukwe na maendeleo.Leo ukisafiri Malaysia,Dubai or Korea Kusini etc tunaenjoy madhari ya maendeleo na kujifunza sio punda au ngedere.Just imagine daraja la kigamboni na mwendokasi vinavyovutia watu

Mkuu uko sahihi, lakini kwa mwendokasi labda kutazama kwa macho tu na siyo kuupanda. Kama unabisha nenda morocco ya tz afu subiri ule wa kwenda kimara, hapo utajua kama ni kivutio au kifutio
 
Back
Top Bottom