Kigwangalla awashangaa wanaobeza ununuzi wa ndege

Kigwangalla awashangaa wanaobeza ununuzi wa ndege

Kwanza kutoka nrb hadi masai mara ni km 169 na kutoka kia hadi ngorongoro ni km 225 kama wewe ungeshukia wapi? Kwanini tusiweke lami uwanja wa musoma na kufungua geti katika kijiji cha nyamswa ni umbali wa km 40 tu.

Pili kwanini tusijenge uwanja bunda ni 20km uko serengeti. Kwanini tusiufanye uwanja wa Mwanza kuwa international watalii wakasafiri kwa boat hadi nyatwali na dabaga. Wakaingia serengeti.
Wao wanajua kila kitu ndo maana ni vigumu kupokea ushauri adhimu Kama huo, Matokeo yake vingi wanakwama,wapunguze kodi za mafuta ya ndege,waondoe ushuru kwenye baadhi ya vitu mfano parking za ndege nk
 
sasa si wapunguze hizo Landing fees ili ndege zitue na watalii hapa nchini? Tuna vivutio vingi vya utalii kuliko Kenya na pesa yetu ni ndogo kuliko Kenya. Tungepung7za vizuizi visivyo na lazima watalii wangefurik.
Pia Mimi huwa sioni mantiki ya kuwabagua wageni au watalii kwenye baadhi ya huduma wapatazo sawa na wazawa mfano kwenye baadhi ya mahotel,nimeeona pia nauli za ferry kuna bei tofauti za wageni na wenyeji,nahisi ni kama ubaguzi Fulani hivi.
 
Yaani watu wanadharau sana mikoa mingine. Huwezi sema hivyo. Kwani huoni flsa zilizoko huko?
Waainishie ili wajue,kuna utalii gani,maana wengi wamekariri utalii ni mbugani tu.Kumbe upo wa aina nyingi,wa fukwe,wa majengo,wa starehe,wa uvuvi,kuogelea,nk
 
Tungemshangaa yeye kama asingetetea hizo ndege
 
Waziri wetu HK hana legacy yoyote atayoiacha wizara ya malia asili, ni mtu wa kudandia hoja hanaga finishing ya kaz zake, ile cinema aliyo ianzisha na Fred Lowassa imeishia wapi?
 
Pia Mimi huwa sioni mantiki ya kuwabagua wageni au watalii kwenye baadhi ya huduma wapatazo sawa na wazawa mfano kwenye baadhi ya mahotel,nimeeona pia nauli za ferry kuna bei tofauti za wageni na wenyeji,nahisi ni kama ubaguzi Fulani hivi.
Hata bei za vyakula ni tofauti ili hali chakula ni cha aina moja. Tuliwahi kwenda kula hotel moja Mwanza tukiwa watatu, wawili watz na mmoja mzungu, sisi bill yetu ilikuja elfu 15 ila ya mzungu elfu 45 ili hali chakula ni cha aina moja
 
Hata bei za vyakula ni tofauti ili hali chakula ni cha aina moja. Tuliwahi kwenda kula hotel moja Mwanza tukiwa watatu, wawili watz na mmoja mzungu, sisi bill yetu ilikuja elfu 15 ila ya mzungu elfu 45 ili hali chakula ni cha aina moja
Hii ni ubaguzi mbona kwao tukienda hawatubagui kuhusu tofauti ya bei kwa huduma moja.
 
Mshamba wa Nzega katoa yake. Simshangai. Hata kule kwao mtu akiwa na baiskeli anaabudiwa. Thamani ipo kwenye vitu badala ya utu. i
 
Iko Siku Serikali itaondoa VAT 18 kwenye Park fee

Serikali inatoza VAT 18% Park fee

idadi ya watalii ni ndogo sana aisee..1.3 Million

Kwa vivutio vyote na uzuri wake kama Serengeti, Ngorongoro, Kilimanjaro, Mafia island, Zanzibar....Only 1.3 million tourists? Tunacheza kweli mchexo wa kitoto. Eti ongezeko la 100,000 kwa mwaka....

Zanzibar yenyewe tu inatakiwa kuwa na watalii 200,000

Imagine Mauritious, Seycheles etc wanazidi Tanzania.

Ondoa Concession Fee

Sasa hivi mpaka Mtanzania analipa Concession fee ya 59 $
 
Kwanza kutoka nrb hadi masai mara ni km 169 na kutoka kia hadi ngorongoro ni km 225 kama wewe ungeshukia wapi? Kwanini tusiweke lami uwanja wa musoma na kufungua geti katika kijiji cha nyamswa ni umbali wa km 40 tu.

Pili kwanini tusijenge uwanja bunda ni 20km uko serengeti. Kwanini tusiufanye uwanja wa Mwanza kuwa international watalii wakasafiri kwa boat hadi nyatwali na dabaga. Wakaingia serengeti.
Watakupinga
 
Back
Top Bottom