engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Ndugu wana jf
MBUNGE wa Jimbo la Nzega [CCM] Dk Hamisi Andrea Kigwangalla ameiomba serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumpatia mkataba wa mgodi wa dhahabu uliopo Nzega wa Golden Pride Project unaoendeshwa na kampuni ya Resolute[T] Limited.
Kigwangalla alitoa waraka huo baada ya kuona wananchi wa Wilaya ya Nzega kwa ujumla wakikosa faida ya mgodi huo mkubwa wa dhahabu.
mimi naamini kuwa huo mkataba utakuwa ni wa kifisadi tuuuuuuu na Mh mbunge hawezi pewa mkata kama anavyohitaji
swali nalojiuliza hapa ni kuwa je Mh amejizatiti kupambana na mafisadi walioingia mkataba huo?
Je mheshiwa kwa kuomba mkataba huo, anajitakia mema kweli ndani na nje ya chama chake?
mapinduziiiiiii daimaaaaaaaaa :target::target:
MBUNGE wa Jimbo la Nzega [CCM] Dk Hamisi Andrea Kigwangalla ameiomba serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumpatia mkataba wa mgodi wa dhahabu uliopo Nzega wa Golden Pride Project unaoendeshwa na kampuni ya Resolute[T] Limited.
Kigwangalla alitoa waraka huo baada ya kuona wananchi wa Wilaya ya Nzega kwa ujumla wakikosa faida ya mgodi huo mkubwa wa dhahabu.
mimi naamini kuwa huo mkataba utakuwa ni wa kifisadi tuuuuuuu na Mh mbunge hawezi pewa mkata kama anavyohitaji
swali nalojiuliza hapa ni kuwa je Mh amejizatiti kupambana na mafisadi walioingia mkataba huo?
Je mheshiwa kwa kuomba mkataba huo, anajitakia mema kweli ndani na nje ya chama chake?
mapinduziiiiiii daimaaaaaaaaa :target::target: