Sahani20
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 1,519
- 740
leo mmeamua kutuonyesha ubabe wenu watu mnatukalisha masaa 11 kusubiri kuvuka. jamani muwe mnakua active na serious. tarehe za muhimu. kwa kweli inasikitisha eti private car hamziruhusu mnaruhusu tu za abiria wakati hata mwenye gari ndogo nae ni msafiri. jamani tunaomba msitufanyie tena hivo maana tunalipa kodi. mtuandalie mazingira mazuri ya kuishi. kama vyuma vimekaza mpaka huko pia mseme. asanteni