Filimbi Haki
Member
- Jul 22, 2017
- 34
- 15
Jamani wadau nawashukuru sana hasa wafanyakazi mlionitumia details za Ufisadi na Ujanja Ujanja wa hawa Darasa la Saba waliokuwa wakiendesha manispaa kama gari mbovu. Nawashukuru sana kwa sababu taarifa nyingi na za uhakika kama taasisi ya Filimbi Haki tumeshazipata na kuipeleka sehemu inakohusika na inafanyiwa kazi..
Tunashukuru pia kwa kuonesha majanga ya uonevu yaliokuwa yakifanywa na hawa darasa la saba ambao hata Primary Education yao pia ni tatizo kweli...nasubiri kupata habari toka kwenu hasa kuhusu manyanyaso ya watumishi sisi tuongee kwa niaba yenu..
NYINYI OGOPENI, SISI TUTAWAWAKILISHA KUFIKISHA KILIO CHENU..nimepata mails nyingi toka Kigoma.Ahsante..KUMBE WENGI MNA MAJANGA LAKINI WAOGA..UOGA NI DHAMBI KUBWA NA DHULUMA KUBWA PIA..SIMAMA KEMEA UOVU...ISAIDIE SERIKALI YAKO KUKUBORESHEA MAISHA YAKO KWA UJUMLA!
Tunashukuru pia kwa kuonesha majanga ya uonevu yaliokuwa yakifanywa na hawa darasa la saba ambao hata Primary Education yao pia ni tatizo kweli...nasubiri kupata habari toka kwenu hasa kuhusu manyanyaso ya watumishi sisi tuongee kwa niaba yenu..
NYINYI OGOPENI, SISI TUTAWAWAKILISHA KUFIKISHA KILIO CHENU..nimepata mails nyingi toka Kigoma.Ahsante..KUMBE WENGI MNA MAJANGA LAKINI WAOGA..UOGA NI DHAMBI KUBWA NA DHULUMA KUBWA PIA..SIMAMA KEMEA UOVU...ISAIDIE SERIKALI YAKO KUKUBORESHEA MAISHA YAKO KWA UJUMLA!