Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
WanaJF,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Matukio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kigoma. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.Kigoma ni mkoa uliopo magharibi mwa Tanzania, ukipakana na nchi za Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa upande wa magharibi na kaskazini. Mkoa huu unajulikana kwa ziwa la Tanganyika, ambalo ni moja ya maziwa marefu zaidi duniani.
MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA KIGOMA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.
Idadi ya Watu
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Kigoma ni 2,470,967; wanaume 1,186,833 na wanawake 1,284,134, ikiwa na wilaya 5.
Idadi ya Majimbo ya Mkoa wa Kigoma
Mkoa wa Kigoma una majimbo Nane ya uchaguzi
- Jimbo la Buyungu
- Jimbo la Kasulu Mjini
- Jimbo la Kasulu Vijijini
- Jimbo la Kigoma Kaskazini
- Jimbo la Kigoma Kusini
- Jimbo la Kigoma Mjini
- Jimbo la Buhigwe
- Jimbo la Muhambwe
Katika uchaguzi mkuu wa 2020 mkoani Kigoma, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilishinda kwa kiwango kikubwa katika ngazi zote.
Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Hayati John Magufuli alipata kura nyingi katika mkoa huu kwenye nafasi ya urais, akipata zaidi ya asilimia 80 ya kura zilizopigwa.
Katika nafasi za ubunge, wagombea wa CCM walishinda viti vyote vya majimbo, huku ACT Wazalendo ikipoteza ngome jimbo la Kigoma mjini.
Aidha, kwenye udiwani, CCM ilijinyakulia kata takriban zote kutokana na upinzani kukumbwa na changamoto nyingi, zikiwemo wagombea wao kuenguliwa kutokana na matatizo ya kisheria au kutokidhi vigezo
Updates
January
- Pre GE2025 - Waziri Kivuli wa ACT Wazalendo Ndolezi Petro atangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kigoma Kusini
- Pre GE2025 - Waziri Kivuli wa ACT Wazalendo Ndolezi Petro atangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kigoma Kusini
- Pre GE2025 - Baba Levo: Nikipewa kadi ya CCM kwenye mkutano mkuu, nitamrudishia Zitto Kabwe kadi yake ya ACT
- Pre GE2025 - Zitto: Serikali inaweka vizingiti katika Kesi za Uchaguzi
- LGE2024 - Matokeo ya uchaguzi mtaa wa Geza Ulole, Kigoma yabatilishwa
- Pre GE2025 - Madiwani Kigoma ujiji walalama miradi ya maendeleo kukwama hivyo kuonekana hawajatimiza wajibu wao, waishutumu TAMISEMI wakitaka uchunguzi ufanyike
- Pre GE2025 - Tunataka uchunguzi haraka kutekwa kwa raia wawili Kigoma na Dar es salaam na uzembe wa jeshi la polisi
- Pre GE2025 - Mbunge Samizi na kamati ya siasa yaendelea na ziara kata kwa kata
- Pre GE2025 - Kigoma: Wana CCM kwenye jimbo la Muhambwe wafurahishwa na kitendo cha Rais Samia kupitishwa kama Mgombea Urais
- Pre GE2025 - Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amewataka wananchi mkoani Kigoma kuutambua na kuuthamini mchango wa Serikali katika maendeleo ya huduma za kijamii
- Pre GE2025 - Kigoma kuuziwa majiko banifu ya ruzuku kwa Tsh. 10,000
- Pre GE2025 - DAS Mtewele awataka wananchi wa Kasulu kuvitunza vyanzo vya maji
- Pre GE2025 - Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma imeiagiza TANROADS kuwasimamia makandarasi kukamilisha miradi kwa wakati
- Pre GE2025 - Serikali imetoa trilioni moja kutekeleza mradi wa SGR LOT NO 6 ya kutoka Tabora - Kigoma mpaka Msongati nchini Burundi
- Pre GE2025 - CCM Kigoma yapiga marufuku kampeni za mapema kabla ya Uchaguzi Mkuu
- Pre GE2025 - Rais Samia awagusa watoto wenye mahitaji maalum kwa msaada wa vyakula Kigoma
- Pre GE2025 - Kigoma: CCM yawatembeza mabalozi mia sita wa serikali za mitaa kukagua miradi ya maendeleo
- Pre GE2025 - LGE2024 - ACT Wazalendo: Uchaguzi wa serikali za Mitaa uliofanyika Mwezi Novemba 2024, ufutwe na ufanyike upya 2025
- Pre GE2025 - Bodaboda waaswa kutotumika kisiasa mwaka huu wa uchaguzi
- Pre GE2025 - Mbunge Samizi atoa bati 30 kwa Wajasiriamali na mifuko 30 ya saruji ujenzi zahanati Nyange
- Pre GE2025 - Mbunge samizi aendelea kuzoa tuzo za pongezi kwenye ziara yake, kata ya Kibondo mjini yamtunuku tena cheti
- Pre GE2025 - Mbunge Dkt. Samizi Akabidhi Saruji Mufiko 50 na Mabati 79 Shule ya Msingi Kwizera
- Pre GE2025 - Zitto Kabwe kuchukua fomu kugombea Ubunge Kigoma Mjini
- Pre GE2025 - Kigoma: Rais Samia achangia TSh Milioni 50 Ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Maria Mtakatifu Mwana wa Mungu
- Pre GE2025 - Baba Levo: Hatutapiga Kura kwa Rais Samia, bali tutarundika kura 2025
- Pre GE2025 - Kiza Mayeye wa ACT Kugombe ubunge Kigoma Kiskazini
- Pre GE2025 - RC Andengenye asisitiza kulinda amani ya Taifa kipindi hiki cha uchaguzi
- Pre GE2025 - Devotha Minja: Chama kile (CHADEMA) hakithamini Wanawake, viongozi wote wa juu wanaume
- Pre GE2025 - Mbunge Samizi atoa Mabati 200 Ujenzi wa Soko la Mabamba kusaidia Wananchi
- Pre GE2025 - Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba atia nia Jimbo la Kigoma Kaskazini
- Pre GE2025 - Mkurugenzi Mtendaji wa Standard Radio FM achukua fomu ya Ubunge Buhigwe
- Pre GE2025 - Operesheni Majimaji ya ACT Wazalendo kufika Kigoma
- Pre GE2025 - Yasinta Kafulila naye autaka ubunge jimbo la Kigoma kusini
- GE2025 - Baba Levo: Simtaki Nondo, Namtaka Zitto
- GE2025 - Baba Levo: Zitto sio mpinzani na hatoweza kunidhibiti
- GE2025 - MNEC Kigoma, Nsokolo afunguka kuhusu wasanii na watu maarufu kugombea nafasi CCM
- GE2025 - Abdul Nondo aungana na Zitto kulitaka Jimbo la Jimbo la Kigoma Mjini, asema "Baba Levo ni kama Kinyago kilichochongwa na ACT"
- GE2025 - Kigoma: Serikali kupitia mradi wa SEQUIP yatoa Shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule mpya mbili za sekondari
- Baba Levo amerudi hewani baada ya matokeo
- GE2025 - Baba Levo: Zitto akitaka kulinda kura tutampa zake azishike mkononi
- GE2025 - Baba Levo aahidi kulipa jina soko la Kipampa "Wasafi night market"
- GE2025 - Baba Levo akinukisha, ataka kura zihesabiwe upya
- GE2025 - Kutoka kwa mjumbe: Baba Levo kamwaga pesa sio chini ya Bilion moja na nusu
- GE2025 - Clayton Chipando (Baba Levo) ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM
- GE2025 - Siasa MCHEZO hatari, ni Zitto wa Chadema au Act wazalendo anapambana na Baba Levo ubunge?
- GE2025 - Zitto Kabwe ameyakanyaga kwa Baba Levo huko Kigoma Mjini
- GE2025 - Baba Levo: Zitto ni gangue kwenye mitandao lakini huku mwepesi sana kama biskuti
- GE2025 - Ukweli ni kwamba Oktoba 29, 2025 Chawa Baba Levo anashinda Ubunge Kigoma Mjini
- GE2025 - Baba Levo: Ukilitaja Jina la Rais Samia wananchi wa Kigoma Mjini wanafurahia, wanajisikia raha sana
Septemba
- GE2025 - Mgombea ubunge kigoma Mjini (CCM), Baba Levo asema aliishia darasa la saba ila ataanza QT mwakani (2026)
- GE2025 - Baba Levo: Niacheni nikafanye uchawa lakini Kigoma ipate Maendeleo
- GE2025 - Baba Levo: Kazi ya kwanza kufanya Kigoma Mjini ni kufuta barabara za vumbi, yasipotokea mnifukuze kama mbwa
- GE2025 - Baba Levo: Askari atakayewanyanyasa bodaboda na bajaji Kigoma Mjini atatafuta nyumba ya kwenda jimbo lingine
- GE2025 - Baba Levo aulizwa swali na mwananchi, 'Kiingereza haujui utaelewaje mikataba?'
- GE2025 - Tazama mwitikio wa wananchi wa Kasulu katika kongamano la kuombea uchaguzi mkuu 2025
- GE2025 - Kiza Mayeye: Nikiingia Bungeni nitapigania bajeti ziwafikie
- GE2025 - Sendwe (ACT): Mnamchagua Serukamba kwasababu ya Rushwa?
- GE2025 - Tuhuma za Rushwa juu ya Serukamba zazua gumzo kwenye kampeni za ACT Wazalendo, Kigoma
- GE2025 - Samia Suluhu: Yule naye ni mwanangu, ameweka vibao 'Urais mpe Samia, Ubunge nipe mimi'
- GE2025 - Baba Levo: Zitto ni gangue kwenye mitandao lakini huku mwepesi sana kama biskuti
- GE2025 - Rais Samia: Tutahakikisha barabara za vijijini inajengwa kwa changarawe na umeme katika vitongoji Kigoma
- GE2025 - Rais Samia: Tutalipa fidia zote, Serikali ya Chama cha Mapinduzi haidhulumu mtu tutakuja kulipa
- GE2025 - Rais Samia: Tumejidhatiti Kuungasisha Kigoma kwa njia zote barabara, reli na njia ya maji
- GE2025 - Baba Levo: Nitatumia milioni 80, kushinda ubunge jimbo la Kigoma mjini
- GE2025 - NCCR Mageuzi wazindua kampeni zao Buhigwe, Kigoma, wasema wananchi wameitikia kwa muitikio mkubwa
- GE2025 - Miaka yote hiyo bado CCM ina ahidi kupeleka maji vijijini, ujenzi wa miundo mbinu?
- GE2025 - Florence Samizi kuboresha huduma za afya Muhambwe
- GE2025 - Zitto Kabwe: Ili kuepuka mikopo ya ‘kausha damu’ nitaanzisha mfuko maalumu ambao nitauwekea Shilingi bilioni 1 watu watakopa bila riba
- GE2025 - Kigoma: ACT Wazalendo wasitisha Kampeni za Ubunge baada ya kukosa Watu kwenye eneo la tukio
- GE2025 - Zitto: Siendi kufanya uchawa ili nipendelewe, naenda kuwasemea ikibidi kufoka
- GE2025 - Mgombea Ubunge Kigoma Mjini (CCM), Baba Levo akijibu swali la Mwandishi wa habari 'Nani alikuambia Wabunge wanalipwa Mil. 18 kwa mwezi?'
- GE2025 - Wananchi Kigoma wamejitokeza kwenye ufunguzi wa kampeni za mgombea ubunge Baba Levo
- GE2025 - Zitto: Aahidi kutatua changamoto ya Ardhi
- GE2025 - Zitto nyumba kwa nyumba kuomba kura kata ya Businde
- GE2025 - Baba Levo afanyiwa maombi na Wachungaji 100 Kigoma
- GE2025 - Baba Levo: Nataka kulifufua Soko la Ujiji ili nikiwa napita wanione kama Nyerere wao!
- GE2025 - Mwananchi amwambia Zitto 'Hili jimbo anatakiwa msomi'
- GE2025 - Zitto Kabwe: Mkinichagua bei ya Simenti itashuka Kigoma
- GE2025 - Zitto: Nikishinda Ubunge, kujifungua itakuwa bure
- GE2025 - Zitto aulizwa na Wananchi, Kura za "Urais tumpe nani?"
- GE2025 - Kijana amwambia Zitto 'Uliwapigania wazazi wetu ni muda wa sisi kukupambania'
- GE2025 - Zitto: ACT ndiyo imeshikilia Ufunguo wa Maendeleo
- GE2025 - Polisi Kigoma kufanya uchunguzi tuhuma za vitambulisho vya kupiga kura kukusanywa na baadhi ya viongozi wa siasa
- GE2025 - Zitto: CCM Watueleze wamefanya nini Miaka Mitano
- GE2025 - Mwananchi: Kigoma ina wasomi wengi lakini Bodaboda
- GE2025 - Baba Levo: Wanasema sijasoma siwezi kuwa mbunge , hizi hoja nazitoa wapi?
- GE2025 - Kigoma: Zitto aahidi kuwapambania waliovunjiwa nyumba zao mwaka 2023, mtaa wa Machinjioni walipwe fidia
- GE2025 - Kashakali: Mkinichagua nitachimba kisima kwa fedha zangu ili wananchi wangu msipate tabu, kwa sasa naogopa nitaambiwa natoa rushwa
- GE2025 - Mwanachama wa ACT-Wazalendo Kigoma aahidi Kutiki kura zote 3 kwa CCM
- GE2025 - Zitto: Tukishinda Mahakamani tutapiga jalamba nchi nzima na Tutaitoa CCM Madarakani
- GE2025 - Mgombea Ubunge CUF Jimbo la Kakonko amuombea kura Mshindani wake wa ACT-Wazalendo
- GE2025 - Zitto: Wananchi Mnaweza kuiondoa CCM Madarakani
- GE2025 - Mwananchi Kigoma: Kuna viongozi walipita na elimu zao na hatukufaidika, Tunamtaka Baba Levo
- GE2025 - Baba Levo: Madaktari bingwa zaidi ya 100 kutoa huduma bure Kigoma Mjini, ni wazi wameona Rais Samia anavyopambania afya za watanzania
- GE2025 - Mgombea Ubunge (CCM) Kigoma Kusini, Nuru Kashakari aahidi kujenga kituo cha Afya kwa fedha zake mwenyewe ndani ya miezi 6 akipewa ridhaa
- GE2025 - Kashakari: Nitahakikisha Kigoma kusini mnapata daraja Mto Malagarasi na Barabara ya lami
- GE2025 - Baba Levo: Tuwe Makini na watu wanaokuja kuomba kura Nyumba kwa nyumba, wanaweza kuwa wezi
- GE2025 - Baba Levo: Naenda Dubai kuzungumza na taasisi, kufufua soko la ujiji
- GE2025 - Nimbi: Huyu kabujanja tulimpa miaka 15 Jimbo la Kigoma Mjini na Vijijini lakini kila mwaka ni hati chafu
- GE2025 - Mwananchi: Zitto ni mbinafsi wa juu lakini Baba Levo ni mtumishi wa wananchi
- GE2025 - Baba Levo ajibu ombi la mwananchi 'Nimesikia kilio cha watu wangu Kagera'
- GE2025 - Baba Levo: Wasomi wameshindwa kutusaidia tutajisadia wenyewe, nipelekeni bungeni
- GE2025 - Zitto: Tutakata rufaa kupigania haki yetu ya kuwa na Mgombea Urais
- GE2025 - Baba Levo: Wafuasi wa ACT wameiba mali za CCM, wameharibu bendera, mabango na kuwashambulia Wanachama kwa Mawe
- GE2025 - Zitto azisaka kura kwa wafanyabiashara wa Kasulu
- GE2025 - INEC yawaonya CCM Kigoma mjini, 'Msiharibu uchaguzi'
Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025
- MKOA WA KIGOMA
Jimbo la Kakonko
(1) Ndugu Aloyce John KAMAMBA
(2) Ndugu CPA. Emmamuel Jeremiah GWEGWENYENZA
(3) Ndugu Dkt. Kagoma Pius KAMANA
(4) Ndugu Alan Thomas MVANO
(5) Ndugu Rosemary Delfina RUHINDA
(6) Ndugu Modest Joseph APOLINARY
(7) Ndugu Msakila Mussa KABEMBE
Jimbo la Muhambwe
(1) Ndugu Florence George SAMIZI
(2) Ndugu Jamal Abdallah TAMIM
(3) Ndugu Dickson Kisondaka BIDEBELI
(4) Ndugu Andason Njiginya KABUKO
(5) Ndugu Jeraidina Paskal KABULULU
(6) Ndugu Julias Paul THOMAS
(7) Ndugu Nduhilibusa Francis MAPIGANO
Jimbo la Kasulu Mjini
(1) Ndugu Prof. Joyce Lazaro NDALICHAKO
(2) Ndugu David Issaya DYOYA
(3) Ndugu Fadhili Salumu NGEZI
(4) Ndugu Magterh Bernard KILENZA
(5) Ndugu Mteule Amon MKOMBO
(6) Ndugu Patrick ZULIGIMBASHA
Jimbo la Kasulu Vijijini
(1) Ndugu Augustine Vuma HOLE
(2) Ndugu Agripina Zaitum BUYOGERA
(3) Ndugu Edibiliy Kazala KIMNYOMA
(4) Ndugu Emmanuel Thomas MSASA
(5) Ndugu Selemeni Marumbo WANDWI
(6) Ndugu Shukurani Patrick MPAGANYE
Jimbo la Buhigwe
(1) Ndugu Ntakimanzi L. YUSUPH
(2) Ndugu Elias M. KAYANDABILA
(3) Ndugu Dr. Yusilida KABUJANJA
(4) Prof. Pius YANDA
(5) Ndugu Cassian C. MBAJIJE
(6) Ndugu Eliadory Felix KAVEJURU
Jimbo la Kigoma Kaskazini
(1) Ndugu Peter J. SERUKAMBA
(2) Ndugu Assa N. MAKANIKA
(3) Ndugu Godfrey H. RUSIMBI
(4) Ndugu Marcel N. TALLINEGA
(5) Ndugu Shaaban A. MTUNDA
(6) Ndugu Athumani S. BAKENE
Jimbo la Kigoma Kusini
(1) Ndugu Nuru Issa KASHAKARI
(2) Ndugu Yasinta Zacharia KAFULILA
(3) Ndugu Nashon Wiliam BDYANGUZE
(4) Ndugu January Benson KIZITO
(5) Ndugu Peter Hezron NYABAKARI
(6) Ndugu Majaliwa Zubeir KAYANDABILA
(7) Ndugu Dkt. Rajabu Abed RIJA
Jimbo la Kigoma Mjini
(1) Ndugu Baruani Abdallah MUHUZA
(2) Ndugu Kirumba Shaaban NG’ENDA
(3) Ndugu Ahmadi Yahya SOVU
(4) Ndugu Clayton Revacatus CHIPONDA (Baba Levo)
(5) Ndugu Maulid Mohamed KIKONDO
(6) Ndugu Moses John BASILA