Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,993
Tanzania tunatumia masaa ya kwenye longitudo 45 mashariki ya greenwich. Mji wa Kigoma upo nyuzi 29 mashariki. Hapo pana tofauti ya nyuzi 16. Kwenye masaa, nyuzi 15 ni sawa na saa 1. Hivyo masaa wanayotumia Kigoma na masaa halisi kunatofauti ya saa moja.
Inabidi wana Kigoma muanze kutumia masaa yenu halisi.
Inabidi wana Kigoma muanze kutumia masaa yenu halisi.