Huyo mtani wa waha akumbushwe tu makamo wa Rais muha, katibu mkuu kiongozi muha, waziri wa elimu muha, katibu mkuu fedha muha wao pia sio wanyonge wana wasomi, naunga hoja mkono mambo ya kuona kabila fulani au letu ni bora kuliko wengine yalishapitwa na wakati muda mrefu vipi wenye kabila la Baba wa Taifa nao waseme nini sasa