Sisi wanakigoma tunaoishi Dar, DODOMA na ughaibuni tunayo furaha kuufahamisha umma tuna mpango wa kuanzisha Chuo Kikuu mkoani kwetu ili Kutoa elimu kwa watanzania na raia wa nchi jirani. Tutazidi kutaarifiana muda wa usajili ukianza asanteni.
Tayari Tuna eneo maeneo ya ujiji, tutaanza na
1. Bsc. African Medicine & Witchcraft,
2. Bsc. Electronics,
3. BSc. Railway Engineering,
4. Bsc. Marine Engineering na
5. BA Conflicts Resolution,
6. BA in Opposition Politics.