- Thread starter
- #21
HapanaPengine hao sio marehem mkuu!
Watu wengi hudhaniwa wamekufa inapotokea ajali ila ki ukwel wanakua bado wanaish
Marehemu 6 majeruh wawil mtoto ambaye mama amefariki na dereva
HapanaPengine hao sio marehem mkuu!
Watu wengi hudhaniwa wamekufa inapotokea ajali ila ki ukwel wanakua bado wanaish
Mara ya mwisho umepita lini?Uwokozi- uokoaji!
Poleni sana! Ile njia mbovu sana, serikali nao wamewasahau sana!
Marehemu tena????Pole nyingi kwa waathirika wa ajali.
'Na tunawaombea matehemu warudi kwenye majukumu yao salama'.
Labda ume mchawiWale wakuselfie na maiti naombeni picha.
Poleni huko mwisho wa reli
6 ndio walio bebwa pale labda majeruh waliopelekwa townPolisi hawapendi mripoti habari hizi...
We umesema 7. Wao watasema 1
Labda ume mchawi
Imagine gari za boss mmoja zinasababisha ajali kisa kupimana ubavu!!
Aisee hatari tupu
Issue ya kupiga picha unaanzaje vileCjakuelewa mkuu.
Issue ya kupiga picha unaanzaje vile
Poleni sana, Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe, wapumzike kwa Aman. AminaImetokea ajali mbaya Kigoma njia ya Uvinza Kijiji cha Mulela.
Mpaka sasa nimeshuhudia maiti saba.
Hiace imepasua tairi na kupinduka
Majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Maweni
Hiace ilikua imetoka Uvinza kwenda kigoma mjini
Kwa mujib wa mashuhud Hiace mbil zilikua zinakimbizana zote za kampun moja baada ya kutoka Mwamila kuelekea Kigoma mjini
Uwokozi unaendelea
Stay tuned