Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,077
- 3,608
Turidiwe kabuhoro kasulu Hadi kwa shayo, SerengetiPole kwa wafiwa
Turidiwe kabuhoro kasulu Hadi kwa shayo, SerengetiPole kwa wafiwa
Unawaombea nini marehemu?Pole nyingi kwa waathirika wa ajali.
'Na tunawaombea matehemu warudi kwenye majukumu yao salama'.
Kuna sehemu kama unaenda kasulu jina nimelisahau baada ya ule mlima uliokaa vibaya panjaaga matope kipindi cha mvua inabidi watu mshuke gari lipite lenyewe likiwa tupu..yote 9 madereva wa kigoma wanaendesha gari kwa kasi sana..120-130 kwenye barabara ya vumbiUwokozi- uokoaji!
Poleni sana! Ile njia mbovu sana, serikali nao wamewasahau sana!
Poleni Sana ndugu yangu.Boss nipo eneo la ajali watu wamepasuka vichwa hiace imesambaa