Kigoma Airport

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,722
155,377
aibu.jpg

pata picha this is kigima airport, ona aibu kama umepita hapa na hukusoma juu ya entrance
 
Duuh Hii ni airport au nyumba ya kulala wageni, Serikali hatuna :A S 20:
 
Kaka typing error ni kitu cha kawaida kabisa, labda mwenzetu wewe ni malaika hukosei.
Pili, hiyo thread sikuwahi kuiona kabla thats why nikajua naleta kitu kipya.
tatu, picha niliyoituma mimi na ile ya KakaKiiza zina tofauti kubwa sana.
Nakutakia mchana mwema na siku njema.
ACHA KURUDIARUDIA, harafu kumbuka hapa Tanzania hatuna mkoa wala mji/eaport inayoitwa Kigima.
 
Kaka typing error ni kitu cha kawaida kabisa, labda mwenzetu wewe ni malaika hukosei.
Pili, hiyo thread sikuwahi kuiona kabla thats why nikajua naleta kitu kipya.
tatu, picha niliyoituma mimi na ile ya KakaKiiza zina tofauti kubwa sana.
Nakutakia mchana mwema na siku njema.

Tofauti yake ile ya Kiiza inaonyesha kweli pale ni air port maana tunawaona wageni yakwako imekaa kama iliyopigwa kwenye magofu mimi naichagua ya kiiza na ninaipa tano!
 
Kaka typing error ni kitu cha kawaida kabisa, labda mwenzetu wewe ni malaika hukosei.
Pili, hiyo thread sikuwahi kuiona kabla thats why nikajua naleta kitu kipya.
tatu, picha niliyoituma mimi na ile ya KakaKiiza zina tofauti kubwa sana.
Nakutakia mchana mwema na siku njema.

Sasa mkuu kama wewe sio malaika hao walioandika hapo KiGIMA walikuwa malaika? you made may day..............
 
Kaka typing error ni kitu cha kawaida kabisa, labda mwenzetu wewe ni malaika hukosei.
Pili, hiyo thread sikuwahi kuiona kabla thats why nikajua naleta kitu kipya.
tatu, picha niliyoituma mimi na ile ya KakaKiiza zina tofauti kubwa sana.
Nakutakia mchana mwema na siku njema.

Duh typing error corrected with a sentence with a typing error....let us think before we criticize, to avoid making ourselves a laughing stock....
 
Hivi kweli Bongo kuna viongozi wa Nchi? Aiport gani hiyo mbaya jamani? mimi nilifikiri mahali pa kujifunzia ndege kumbe Aiport? Ahhh Nchi imeoza jamani Hivi hao Viongozi wa Serikali yentu hawaoni Aibu namna hii? inasikitisha jamani Hatuna Viongozi Wakuu Wenzangu. AIBU TUPU


attachment.php




attachment.php
 
<table id="yui_3_3_0_1_1297220876461134" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody id="yui_3_3_0_1_1297220876461133"><tr id="yui_3_3_0_1_1297220876461132" class="no-border allsizes-sizes"><th id="yui_3_3_0_1_1297220876461131">Zanzibar Aiport Afadhali hii kidogo inapendeza kuliko huko Kigoma
</th> <td>
</td> <td>
</td> <td>
</td> <td>
</td> <td class="allsizes-selected">
</td> <td>
</td> <td>
</td> </tr> </tbody></table>
1884484102_218d19563a_z.jpg
 
Kaka typing error ni kitu cha kawaida kabisa, labda mwenzetu wewe ni malaika hukosei.
Pili, hiyo thread sikuwahi kuiona kabla thats why nikajua naleta kitu kipya.
tatu, picha niliyoituma mimi na ile ya KakaKiiza zina tofauti kubwa sana.
Nakutakia mchana mwema na siku njema.
Kaka Buji nikwamba picha ni ileile mpigaji niyuleyule yangu aikuwa edited yakwako wameedit na lengo ilikuwa kuonyesha maandishi ila ukitazama utaona watu kawakata!Mimi ipokamailivyochukuliwa na mpiga picha wetu asanteni.
Tofauti yake ile ya Kiiza inaonyesha kweli pale ni air port maana tunawaona wageni yakwako imekaa kama iliyopigwa kwenye magofu mimi naichagua ya kiiza na ninaipa tano!
Picha nimoja wandugu!

Hivi kweli Bongo kuna viongozi wa Nchi? Aiport gani hiyo mbaya jamani? mimi nilifikiri mahali pa kujifunzia ndege kumbe Aiport? Ahhh Nchi imeoza jamani Hivi hao Viongozi wa Serikali yentu hawaoni Aibu namna hii? inasikitisha jamani Hatuna Viongozi Wakuu Wenzangu. AIBU TUPU


attachment.php


Hii ndiyo picha kamili ya picha ya Kaka Buji ila yakweke imewekwa usanii kidogo kwa lengo lakuonyesha alichokusudia Kupeleka ujumbe mojakwa moja!!

attachment.php
Hakutaka kuwapa shavu wazungu kaka buji nia yake kupeleka ujumbe!!
 
Back
Top Bottom