Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,722
- 155,377
Mkuu rejea hii kumbukumbu ya thread hii bofya chini!!!View attachment 22407
pata picha this is kigima airport, ona aibu kama umepita hapa na hukusoma juu ya entrance
View attachment 22407
pata picha this is kigima airport, ona aibu kama umepita hapa na hukusoma juu ya entrance
ACHA KURUDIARUDIA, harafu kumbuka hapa Tanzania hatuna mkoa wala mji/eaport inayoitwa Kigima.
Hizo ni common typing error.ACHA KURUDIARUDIA, *harafu* kumbuka hapa Tanzania hatuna mkoa wala mji/*ea*port inayoitwa Kigima.
Kaka typing error ni kitu cha kawaida kabisa, labda mwenzetu wewe ni malaika hukosei.
Pili, hiyo thread sikuwahi kuiona kabla thats why nikajua naleta kitu kipya.
tatu, picha niliyoituma mimi na ile ya KakaKiiza zina tofauti kubwa sana.
Nakutakia mchana mwema na siku njema.
Kaka typing error ni kitu cha kawaida kabisa, labda mwenzetu wewe ni malaika hukosei.
Pili, hiyo thread sikuwahi kuiona kabla thats why nikajua naleta kitu kipya.
tatu, picha niliyoituma mimi na ile ya KakaKiiza zina tofauti kubwa sana.
Nakutakia mchana mwema na siku njema.
View attachment 22407
pata picha this is kigima airport, ona aibu kama umepita hapa na hukusoma juu ya entrance
Sasa mkuu kama wewe sio malaika hao walioandika hapo KiGIMA walikuwa malaika? you made may day..............
Kaka typing error ni kitu cha kawaida kabisa, labda mwenzetu wewe ni malaika hukosei.
Pili, hiyo thread sikuwahi kuiona kabla thats why nikajua naleta kitu kipya.
tatu, picha niliyoituma mimi na ile ya KakaKiiza zina tofauti kubwa sana.
Nakutakia mchana mwema na siku njema.
Kaka Buji nikwamba picha ni ileile mpigaji niyuleyule yangu aikuwa edited yakwako wameedit na lengo ilikuwa kuonyesha maandishi ila ukitazama utaona watu kawakata!Mimi ipokamailivyochukuliwa na mpiga picha wetu asanteni.Kaka typing error ni kitu cha kawaida kabisa, labda mwenzetu wewe ni malaika hukosei.
Pili, hiyo thread sikuwahi kuiona kabla thats why nikajua naleta kitu kipya.
tatu, picha niliyoituma mimi na ile ya KakaKiiza zina tofauti kubwa sana.
Nakutakia mchana mwema na siku njema.
Picha nimoja wandugu!Tofauti yake ile ya Kiiza inaonyesha kweli pale ni air port maana tunawaona wageni yakwako imekaa kama iliyopigwa kwenye magofu mimi naichagua ya kiiza na ninaipa tano!
Hakutaka kuwapa shavu wazungu kaka buji nia yake kupeleka ujumbe!!Hivi kweli Bongo kuna viongozi wa Nchi? Aiport gani hiyo mbaya jamani? mimi nilifikiri mahali pa kujifunzia ndege kumbe Aiport? Ahhh Nchi imeoza jamani Hivi hao Viongozi wa Serikali yentu hawaoni Aibu namna hii? inasikitisha jamani Hatuna Viongozi Wakuu Wenzangu. AIBU TUPU
Hii ndiyo picha kamili ya picha ya Kaka Buji ila yakweke imewekwa usanii kidogo kwa lengo lakuonyesha alichokusudia Kupeleka ujumbe mojakwa moja!!