Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,839
- 93,626
Siyo kweli Moshi, Arusha na Manyara hawana utamaduni huo labda mali, Tarime bangi snWanauwana/Nyongana kisa mapenzi kumiliki pesa
Siyo kweli Moshi, Arusha na Manyara hawana utamaduni huo labda mali, Tarime bangi snWanauwana/Nyongana kisa mapenzi kumiliki pesa
Shida zipo hapa.... mwanamke analala nje ya nyumba yako na bado unaishi nae... over my dead body!wakati mwingine amekuwa akilala nje ya ndoa na kurejea asubuhi.
mumewe alipokuja majira ya saa nne usiku vijana hao walimvamia baada ya kuteremka kwenye gari na kuanza kumkatakata na alipoanguka chini walijua amekufa na wote walitoweka" kilisema chanzo ndani ya jeshi hilo.Mkaguzi Msaidizi wa jeshi la Polisi kituo cha Usariver, Demetrida Sweethbert Thadeo Mkazi wa Momela, wilayani Arumeru Mkoani Arusha, anahojiwa na polisi katika kituo hicho akituhumiwa kukodi majambazi waliomjeruhi kwa mapanga mumewe Daud Thomasi Ayo kutokana na ugomvi wa kifamilia.
Kwa mujibu wa taarifa za ndani za jeshi hilo na kuthibitishwa na Mumewe, tukio hilo lilitokea usiku wa desemba 24, 2023 nyumbani kwao Momela ambapo watu wasiojulikana walimvamia akiwa anaingia nyumbani kwake akijaribu kufungua geti ndipo watu wanne walijitokeza na kuanza kumkatakata kwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake.
Inadaiwa kuwa siku chache kabla ya tukio hilo Lemetilda alionekana akiharibu mfumo wa kamera za nyumbani kwao (CCTV Camera)na mumewe alipomuuliza kwanini anazima kamera hakuweza kutoa majibu ya maana ila alisema anarekebisha.
Taarifa zinasema kuwa wanandoa hao ambao wamebahatika kuwa na watoto wawili akiwemo mchanga wa kunyonya, Mume amekuwa akimtuhumu kujihusisha na mahusiano yasiofaa na mara nyingi tangia amejifungua alikuwa hamnyonyeshi mtoto ipasavyo na wakati mwingine amekuwa akilala nje ya ndoa na kurejea asubuhi.
Ayo ambaye amelazwa katika hospitali ya ALMC jijini Arusha, alithibitisha kutendewa unyama huo na mkewe kutokana na ugomvi wa Mara kwa mara ndani ya familia na kwamba kati ya majambazi wanne waliomvamia siku hiyo mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Agustino anashikiliwa katika kituo hicho cha polisi na upelelezi unaendelea.
Hata hivyo taarifa zimedai kuwa baada ya mtuhumiwa kuhojiwa na polisi ,alikiri kuhusika na tukio hilo na kueleza kuwa yeye na wenzake walitoka dar es salaam baada ya kuahidiwa na askari huyo ujira wa Tsh. milioni 3 na tayari walikabidhiwa kitita cha sh,500,000 kama malipo ya awali kwa ajili ya kumuua mumewe.
"Hawa vijana aliwakodi kutoka Dar ili wamuue mume wake na siku ya tukio huyo mkewe (Askari) alikuwemo ndani ila alizima CCTV CAMERA na mumewe alipokuja majira ya saa nne usiku vijana hao walimvamia baada ya kuteremka kwenye gari na kuanza kumkatakata na alipoanguka chini walijua amekufa na wote walitoweka" kilisema chanzo ndani ya jeshi hilo.
Daudi alipotakiwa kuongelea tukio hilo mara ya kwanza alikubali na kuajidi kutoa ushirikiano lakini baadaye alipoitwa kutoa maelezo kituo cha polisi aliomba asiongee na mwandishi wa habari kwa madai kwamba amekatazwa na polisi baada ya kuahidiwa, kumchukulia hatua za kinidhamu kwa mkewe.
Baadhi ya askari polisi kituoni hapo wamesikitishwa na tukio hilo wakidai kwamba mara kadhaa mumewe amekuwa akija kituoni hapo kwa mkuu wa kituo afande ODC, kulalamika kuhusu tabia na mwenendo wa mkewe.
Baba mzazi wa Daudi, Thomas Ayo alikiri kuwa ndoa ya wawili hao ina mgogoro wa mara kwa mara na amesikitishwa sana na tukio hilo na mwanaye alimwambia aliyehusika ni mkewe ila polisi wamemzuia asiongee kwa waandishi wa habari kwani jeshi hilo limemwahidi kumfukuza kazi mkewe.
Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha, Justin Masejo alipoulizwa alisema bado hajapata taarifa ila aliahidi kulifuatilia kwa wasaidizi wake na kulitolea ufafanuzi.
"Ndo nalisikia kwako ila ngoja nifuatilie nitakupa taarifa" Hata hivyo ndugu na jamaa wamelalamikia hatua ya askari huyo kutochukuliwa hatua ikiwemo kufukuzwa kazi kwani mara kwa mara amekuwa akikabiliwa na tuhuma nyingi ambazo jeshi hilo limezifumbia macho, ikiwemo kashfa ya usagaji..
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Du! Kumbe ni msagaji? Sasa mbona amezaa? Au ni double....msagaji na mgegedwaji?Mkaguzi Msaidizi wa jeshi la Polisi kituo cha Usariver, Demetrida Sweethbert Thadeo Mkazi wa Momela, wilayani Arumeru Mkoani Arusha, anahojiwa na polisi katika kituo hicho akituhumiwa kukodi majambazi waliomjeruhi kwa mapanga mumewe Daud Thomasi Ayo kutokana na ugomvi wa kifamilia.
Kwa mujibu wa taarifa za ndani za jeshi hilo na kuthibitishwa na Mumewe, tukio hilo lilitokea usiku wa desemba 24, 2023 nyumbani kwao Momela ambapo watu wasiojulikana walimvamia akiwa anaingia nyumbani kwake akijaribu kufungua geti ndipo watu wanne walijitokeza na kuanza kumkatakata kwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake.
Inadaiwa kuwa siku chache kabla ya tukio hilo Lemetilda alionekana akiharibu mfumo wa kamera za nyumbani kwao (CCTV Camera)na mumewe alipomuuliza kwanini anazima kamera hakuweza kutoa majibu ya maana ila alisema anarekebisha.
Taarifa zinasema kuwa wanandoa hao ambao wamebahatika kuwa na watoto wawili akiwemo mchanga wa kunyonya, Mume amekuwa akimtuhumu kujihusisha na mahusiano yasiofaa na mara nyingi tangia amejifungua alikuwa hamnyonyeshi mtoto ipasavyo na wakati mwingine amekuwa akilala nje ya ndoa na kurejea asubuhi.
Ayo ambaye amelazwa katika hospitali ya ALMC jijini Arusha, alithibitisha kutendewa unyama huo na mkewe kutokana na ugomvi wa Mara kwa mara ndani ya familia na kwamba kati ya majambazi wanne waliomvamia siku hiyo mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Agustino anashikiliwa katika kituo hicho cha polisi na upelelezi unaendelea.
Hata hivyo taarifa zimedai kuwa baada ya mtuhumiwa kuhojiwa na polisi ,alikiri kuhusika na tukio hilo na kueleza kuwa yeye na wenzake walitoka dar es salaam baada ya kuahidiwa na askari huyo ujira wa Tsh. milioni 3 na tayari walikabidhiwa kitita cha sh,500,000 kama malipo ya awali kwa ajili ya kumuua mumewe.
"Hawa vijana aliwakodi kutoka Dar ili wamuue mume wake na siku ya tukio huyo mkewe (Askari) alikuwemo ndani ila alizima CCTV CAMERA na mumewe alipokuja majira ya saa nne usiku vijana hao walimvamia baada ya kuteremka kwenye gari na kuanza kumkatakata na alipoanguka chini walijua amekufa na wote walitoweka" kilisema chanzo ndani ya jeshi hilo.
Daudi alipotakiwa kuongelea tukio hilo mara ya kwanza alikubali na kuajidi kutoa ushirikiano lakini baadaye alipoitwa kutoa maelezo kituo cha polisi aliomba asiongee na mwandishi wa habari kwa madai kwamba amekatazwa na polisi baada ya kuahidiwa, kumchukulia hatua za kinidhamu kwa mkewe.
Baadhi ya askari polisi kituoni hapo wamesikitishwa na tukio hilo wakidai kwamba mara kadhaa mumewe amekuwa akija kituoni hapo kwa mkuu wa kituo afande ODC, kulalamika kuhusu tabia na mwenendo wa mkewe.
Baba mzazi wa Daudi, Thomas Ayo alikiri kuwa ndoa ya wawili hao ina mgogoro wa mara kwa mara na amesikitishwa sana na tukio hilo na mwanaye alimwambia aliyehusika ni mkewe ila polisi wamemzuia asiongee kwa waandishi wa habari kwani jeshi hilo limemwahidi kumfukuza kazi mkewe.
Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha, Justin Masejo alipoulizwa alisema bado hajapata taarifa ila aliahidi kulifuatilia kwa wasaidizi wake na kulitolea ufafanuzi.
"Ndo nalisikia kwako ila ngoja nifuatilie nitakupa taarifa" Hata hivyo ndugu na jamaa wamelalamikia hatua ya askari huyo kutochukuliwa hatua ikiwemo kufukuzwa kazi kwani mara kwa mara amekuwa akikabiliwa na tuhuma nyingi ambazo jeshi hilo limezifumbia macho, ikiwemo kashfa ya usagaji..
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Underline mahusiano yasiofaa...mke ni msagaji.Mwanaume unakwenda kulalamika kwa mkuu wa kazi kama anatoa nyapu nje suluhu ni kufukuza hakutaki amepata wake hata huyo mtoto nenda kapime DNA!
Mwanaume unakwenda kulalamika kwa mkuu wa kazi kama anatoa nyapu nje suluhu ni kufukuza hakutaki amepata wake hata huyo mtoto nenda kapime DNA!
Kuwe na ndoa za mikataba haya mambo ya kusema mtakuwa mwili mmoja mpk kifo kiwatenganishe ni ujinga tupu. Wakristo tubadilike hakuna sababu ya kulazimisha ndoa kama kuna mgogoro watu waachane mapema.
Maisha magumu sana, sana. Watu wanne wanakodishwa kutoa uhai wa mtu kwa ujira wa milioni 3?! wakigawana ni laki 7 kila mmoja?Hatari!
Ila kachero ana roho ngumu sana, hadi kumkodia watu wa kumuua? Sio mchezo.
Mambo ya mali nadhaniHatari!
Ila kachero ana roho ngumu sana, hadi kumkodia watu wa kumuua? Sio mchezo.
hivi kupima DNA huwa ni bei gan?pia unaweza ukatumia bima kupima DNA?Mwanaume unakwenda kulalamika kwa mkuu wa kazi kama anatoa nyapu nje suluhu ni kufukuza hakutaki amepata wake hata huyo mtoto nenda kapime DNA!
Ndio kachero huyo hata kama hutaki......alitaka ionekane kama ni majambazi tu wakawaida....ndio maana tukio linafanyika na yeye akiwa ndani.Inakuaje kachero anapanga mipango mibovu Hadi Wana mshtukia. Hii sijaipenda.
Kwa mara ya kwanza umeongea jambo muhimu sana sana!! Una akili nyingi mno. Kuanzia Leo Mimi ni CHAWA wakoKuwe na ndoa za mikataba haya mambo ya kusema mtakuwa mwili mmoja mpk kifo kiwatenganishe ni ujinga tupu. Wakristo tubadilike hakuna sababu ya kulazimisha ndoa kama kuna mgogoro watu waachane mapema.
Ukisoma katikati ya mistari utagundua kwamba mwanaume analishwa na Afande.Mwanaume alifanya uzembe kidogo, kitendo cha kumkuta mkewe anachezea CCTV kamera na wakati wana ugomvi mkubwa ndani, pale pale machale yalipaswa kumcheza.