johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Kigogo wa chadema ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huko Tabata na mjumbe wa mkutano mkuu ambaye alihamia CCM mwaka jama amerejea rasmi Ufipa.
Akiongea na waandishi wa habari meya wa ubungo mh Jacob amesema kigogo huyo amerejea baada ya CCM kushindwa kumtimizia yale waliyomuahidi.
Bonny amesema wanachadema waliohamia CCM wengi wameomba kurudi na kwa kuanzia vigogo wengine watatu watarejea hivi karibuni.
Kwa kumalizia Meya Bonny amesema wahamaji hao waliahidiwa fedha na vyeo kule lumumba lakini ni mmoja tu aliyebahatika kupata unaibu waziri na waliobakia waliishia kupata " kishika uchumba" tu na bado wanalia hadi leo ila milango ya Chadema iko wazi kwao kwani nyumbani ni nyumbani tu.
Source ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Akiongea na waandishi wa habari meya wa ubungo mh Jacob amesema kigogo huyo amerejea baada ya CCM kushindwa kumtimizia yale waliyomuahidi.
Bonny amesema wanachadema waliohamia CCM wengi wameomba kurudi na kwa kuanzia vigogo wengine watatu watarejea hivi karibuni.
Kwa kumalizia Meya Bonny amesema wahamaji hao waliahidiwa fedha na vyeo kule lumumba lakini ni mmoja tu aliyebahatika kupata unaibu waziri na waliobakia waliishia kupata " kishika uchumba" tu na bado wanalia hadi leo ila milango ya Chadema iko wazi kwao kwani nyumbani ni nyumbani tu.
Source ayo tv
Maendeleo hayana vyama!