EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Kigogo mmoja wa chama ambaye jina lake halikutajwa wala chama anachotoka anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kujihusisha na mauaji ya albino na utengenezaji wa noti bandia.
Magazeti yameripoti leo yakisema kigogo huyo anahusishwa na mbio za urais.
Najua JF is where we speak openly haitashindikana kulipata jina wa chama anachotoka.
Magazeti yameripoti leo yakisema kigogo huyo anahusishwa na mbio za urais.
Najua JF is where we speak openly haitashindikana kulipata jina wa chama anachotoka.