mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,223
- 4,679
lift za wapi hapa bongo
HAHAHA WAPI HAPO MKUUU EMBU NIAMBIE MPAKA MNAMALIZA
hapana
nataka nipajaue
umejiunga lini jf?
lift za wapi hapa bongo
HAHAHA WAPI HAPO MKUUU EMBU NIAMBIE MPAKA MNAMALIZA
hapana
nataka nipajaue
Mtoe mtizamo wenu huko kwenu khali iko vipi? Nchi kubwa hii yakheeee!
Subiri RICHRUKW a.k.a richmond ndiyo itamaliza tatizo.
Kumbe mamii DEMBA kama umeridhia mwenyewe sawa. Nilijuwa hao wake wenzako ni wale waruwaru kumbe hawa wanaojiheshimu, vizuri nami nitawaheshimu na kuwapenda kama wewe.
Najua siku hizi hakuna cha peke yako ndio maana hata mtoto wenu nimemtafutia michepuko hahaahhahahaaaa!!!!
Hii swala pamoja na watu nikuwamo mie kulipenda coz halina costs za ajabu2 lina madhara makubwa sana hasa kwa wenye ndoa zao, semina,warsha za nje ya vituo vya kazi mh!acha tu.
Hii kitu ya one night stand inahusika sana aisee hasa kwa watu wenye commitment.Ukishakula kitu hapo una ujakika wa kutopigiwa zile late calls na messages mbili mbili za rent imeisha.
Ni shiddddah! Hebu msitiri mtoto wa watu jamani
kigodoro kina maji hiki, unalalaje hasa???
Hahahaaaaaaaa! WAKO PEKE YAKO,!!!! Keep the fairy tale at heart! I wish life was thst simple!hahaha lara 1 unanitangaza utanipunguzia dau bhana Asprin nilishamdanganya vingine lols BACK TO THE TOPIC one night stand ni kujidhalilisha tu utajiachia kwa wangapi???? mtu ajiiite working class afu anabinjuliwa the so called one night stand ??? ni majanga lol kwanini ustafute HB wako peke yako akakuridhisha mkaridhiana eeeeh hayo mambo ya one night stand mwishowe unajikuta unachakazwa roho na mwili like madame W ukija kustuka historia yako ni zaidi ya timu ya mpira hahahahaha
watu wanamtafsiri Oprah very differently and wrongly. yan wao wanaona tu kule kutokuolewa ndo wanakotaka kuiga..miss independent. ila hawataki kuiga the struggling hussling woman who made it bila kuhongwa na kuto.mbwa na waume za watu. they dont see the oprah who doesnt go out drinking at every other bar with just any man who flashes money on thwir faces...utawasikia tu 'oh me i want to be like oprah' na wanakisambaza kitumbua kuliko wadada walioolewa.
for one Oprah hapaswi kuwa mfano wa kuigwa kwenye rships..she has issues. muigeni kwenye determination yake ya kutoka kimaisha kwenye struggle yake ya kuifanya dunia a better place to live..there is so muchcto learn and get inspired from Oprah but sadly these bit.chy whor.es wanakimbilia kutokuolewa.
in as much as i agree ndoa haikuandikiwa every person then live as one who wasnt meant for marriage....sio mileage inasoma 350,674km n u r just 24 years na unasema mi sitaki kuolewa..WTH...ushaolewa miaka mia iliyopita.