Nenda karibu na tukio onana na wahusika natumai watakupokea na kukufahamisha mpango mzima ukoje.
JF wengine mikoani lakini watakujibu pumba.
JF wengine vyuoni nao watakujibu ovyo,
JF wengine wazee wa boksi hao wakitoka mzigoni uchovu wote utaishia kwako,
Lakini wengine hta kuchangia awachangii kama ana cha kuchangia
Na wachache watakujibu kiungwana
Nenda karibu na tukio onana na wahusika natumai watakupokea na kukufahamisha mpango mzima ukoje.
JF wengine mikoani lakini watakujibu pumba.
JF wengine vyuoni nao watakujibu ovyo,
JF wengine wazee wa boksi hao wakitoka mzigoni uchovu wote utaishia kwako,
Lakini wengine hta kuchangia awachangii kama ana cha kuchangia
Na wachache watakujibu kiungwana
Umeona eeeh Kijakazi mimi nashindwa kujua tatizo letu ni nini?mda mwengine natamani neno baya#######watu dizaini hiiNa hiyo ndio picha kamili ya jamii yetu, haujakosea kitu, na ndio maana mabadiliko au maendeleo yatachukua kama vizazi (Generations) nne (4) zijazo, kila kitu mzaa na utani, kuanzia mfagizi mpaka Mwalimu wa Chuo Kikuu, ila kwa kulalamika ni namba 1, na kila siku utasikia wanamlalamikia Bw. Kikwete hafanyi kitu utafikiri Bw. Kikwete hajazaliwa na kukulia Tanzania kwenye hii jamii!
samahani, wazeewa mabox maana yake nini
acha ujinga wewesamahani, wazeewa mabox maana yake nini
Nenda karibu na tukio onana na wahusika natumai watakupokea na kukufahamisha mpango mzima ukoje.
JF wengine mikoani lakini watakujibu pumba.
JF wengine vyuoni nao watakujibu ovyo,
JF wengine wazee wa boksi hao wakitoka mzigoni uchovu wote utaishia kwako,
Lakini wengine hta kuchangia awachangii kama ana cha kuchangia
Na wachache watakujibu kiungwana
Na hiyo ndio picha kamili ya jamii yetu, haujakosea kitu, na ndio maana mabadiliko au maendeleo yatachukua kama vizazi (Generations) nne (4) zijazo, kila kitu mzaa na utani, kuanzia mfagizi mpaka Mwalimu wa Chuo Kikuu, ila kwa kulalamika ni namba 1, na kila siku utasikia wanamlalamikia Bw. Kikwete hafanyi kitu utafikiri Bw. Kikwete hajazaliwa na kukulia Tanzania kwenye hii jamii!