Kigamboni Bridge at Night Looks so Beautiful

Kigamboni Bridge at Night Looks so Beautiful

kadoda11

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
21,453
Reaction score
20,755
1460838162381.jpg
 
Wakenya wameshaanza kuitangaza kama ya kwao.
Haina shida,acha tu watusaidie kulutangaza hilo daraja so long as geographical coordinate za google map na google earth zinaonyesha lipo dar es salaam tanzania.hawamdanganyi mtu zama hizi.
walifanikiwa kuwandanya wazungu miaka ya nyuma kuhusu location ya mlima Kilimanjaro,sasa hivi hawawezi tena.
 
Haina shida,acha tu watusaidie kulutangaza hilo daraja so long as geographical coordinate za google map na google earth zinaonyesha lipo dar es salaam tanzania.hawamdanganyi mtu zama hizi.
walifanikiwa kuwandanya wazungu miaka ya nyuma kuhusu location ya mlima Kilimanjaro,sasa hivi hawawezi tena.
Naona nikama wanazidi kujidharilisha wenyewe
 
Naona nikama wanazidi kujidharilisha wenyewe
Tunapo waita wakenya ni nyumbu waliotukuka huwa hutuwaiti kwa kuwaonea,tunazo sababu za msingi.

hivi ktk historia ya jumuiya ya EA,kuna mtz aliyewahi kuitangazia dunia vivutio vya kenya vipo tz?.
 
Hayo ni madoido ili tusahau ufisad na gharama walizotoa nssf

usiku linaonekana kama nyumba au godown.
sio kila thread ni ya kulazimisha kupigia porojo zenu za kisiasa.hata kama mngepita tu kimya kimya,bado tungetambua uwepo wenu hapa JF.
nimelisema hilo kiroho safi tu.sina ubaya nanyi.
asanteni na karibuni tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom