hapa nilipo nina video inayoonyesha jinsi mradi huo utakavyoanza, mji utakavyopangwa, nk....kwa mujibu wa waandaji wa video hii wanasema mradi huo utaanza mwaka huu 2011 na kuisha mwaka 2030....kama ntaweza ntaiweka hapa maana imezungumzia mradi huo kugawanywa katika maeneo makuu 5..international business center, industries, education center, tourism, residential areas na transport centers