mtoto wa mama
Senior Member
- Jan 11, 2011
- 188
- 18
Wana JF
Bado nashidwa kuelewa kuhusu mradi wa jiji jipya la Kigamboni maana nina kibanda changu huku nimeitwa mara ya pili kwa ajili ya uhakiki maana first time ilikuwa 2008 wakasema tusiendeleze chochote lakini miaka mitatu imepita bila lolote..
Sasa mwaka huu nimehakiki tena sasa sielewi maana ni kama huu mradi upo au ndio dana dana za magamba kwani kuna permit za ujenzi bado zinaendelea kutolewa tu..
Naomba mnijuze wenye info zaidi.
Bado nashidwa kuelewa kuhusu mradi wa jiji jipya la Kigamboni maana nina kibanda changu huku nimeitwa mara ya pili kwa ajili ya uhakiki maana first time ilikuwa 2008 wakasema tusiendeleze chochote lakini miaka mitatu imepita bila lolote..
Sasa mwaka huu nimehakiki tena sasa sielewi maana ni kama huu mradi upo au ndio dana dana za magamba kwani kuna permit za ujenzi bado zinaendelea kutolewa tu..
Naomba mnijuze wenye info zaidi.